Billy philip
Member
- Oct 24, 2019
- 15
- 8
Wadau naomba kujua kama kuna mdau wa chuo cha takwimu kile cha pale Changanyikeni EASTC tuwasiliane.
Pia vipi kuhusu tetesi za batch three?
Pia vipi kuhusu tetesi za batch three?
Mkuu haieleweki mana ata HESLB wenyewe hawatoi taarifa yoyote na ukiingia kwenye akaunti wameandika 'analysis in progress 'Wadau naomba kujua kama kuna mdau wa chuo cha takwimu kile cha pale Changanyikeni EASTC tuwasiliane.
Pia vipi kuhusu tetesi za batch three?
Kweli ii mamb n bahat tu na inakupa stress kama ndounaitegemea mungu atafnya wepes mtapata.wakuu kueni wapole watatoa tu jifanye kama umesahau inaweza kukondesha ii kituu inatia stress hasa kwa sisi tusiojiweza Mungu atasaidia mtapata hua ni bahati unaweza kua na vigezo vyote na ukakosa
Nenda kwenye account yako batch three tayari
Kweli au tunalushana tu.. ??
Mkuu vp umepata?Nenda kwenye account yako batch three tayari
aya mambo sometimes sio ya kuya tegemea sana..before ata uja omba loan unakua usha jiwekea kupata na kukosaaisee mimi sijapata kuelewa pahala.............! nimeingia kwenye account na nilichokikuta ni kwamba your not selected in both bach 1 and 2. swali....... sasa kama bach 3 imetoka kwann wakomee kuandika bach 1&2
Sikilizia usikute ndo wanaweka.aisee mimi sijapata kuelewa pahala.............! nimeingia kwenye account na nilichokikuta ni kwamba your not selected in both bach 1 and 2. swali....... sasa kama bach 3 imetoka kwann wakomee kuandika bach 1&2
aya mambo sometimes sio ya kuya tegemea sana..before ata uja omba loan unakua usha jiwekea kupata na kukosa
Dah kabatisha
Nime ona sehemu i screenshoot ..View attachment 1252126
Ndio walivyo tangaza auUkiona ur status haija change ujue batch 3 haupo so wait ne t batch
Ndo inavyokuwa kk we wait uoneNdio walivyo tangaza au
Sio ndo wanaendeleea kuweka.Ukiona ur status haija change ujue batch 3 haupo so wait ne t batch