Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Leo nimefulia bandugu.Sina salio kabisa kama una salio simuni kwako basi nihamishie hata 100 tu.Msema ukweli mpenzi wa mungu na kuiba dhambi.Namba yangu 0762 698 698.
Ungekuwa unatumia
mtandao wa Zantel
ningekunusuru Kamanda!
Endelea kuperuz kwn wadau watakuja!
we wa kike au kiume?
Jamani we mchokozi eeeeh?halafu ukijua ni wa kike uanze mambo yako?we wa kike au kiume?
Jamani we mchokozi eeeeh?halafu ukijua ni wa kike uanze mambo yako?
we mpunguzie tu Mungu atakulipia,ni nina imani utakuwa umempunguzia.
jamani lakini huyu jamaa mjanja sana tutajuaje kama simu yake tayari
ina dola za kutosha?asije akafungua duka la vocha za kurusha tuwe macho jamani
Kama una line ya tigo fanya faster nikulushie salio kuna mdau kakosea kutuma tigo pesa kanitumia mim??
Kumbe mungu anatumia VODA?!!!we mpunguzie tu Mungu atakulipia
.....mbona namba haipo kwa hewa....
jamani nishamtumia huyu jamaa toka usiku wa manane!kama ni demu wake alishabonga nae!