Mwenye nyumba ananidai kodi ya miezi 3, naomba mbinu za 'kumpanga'

Sasa hv kuna watu wanaanzisha kampuni za uwakala wa kukusanya kodi kwa niaba ya wenye nyumba kama wafanyavyo MAJEMBE na YONO. mpangaji unasaini mkataba tarehe ikifika hujatoa kodi chumba kinatiwa kofuli unaanza kutozwa riba 30% ya kodi ya miezi mitatu, sita au mwaka (kulingana na makubaliano yenu) kwa siku 7 (kama umesoma sequence and series hapo nadhani unaelewa maana yake ni kuwa kodi inajizidishaje, yani kama ulikuwa unadaiwa laki 3 baada ya siku 7 unatakiwwa ulipe zaidi ya milioni). Baada ya hapo kama umeshindwa kutoa hiyo pesa unakamatwa na mavitu yako yanatolewa nje yanauzwa kwa mnada wakati huo wewe uko polisi unahojiwa tayari kwa kufikishwa mahakamani.

Itafika mahali heshima ya wenye nyumba itarudi.
Dahh,hii kutu si ya nchi hii!!!
 
Jamani ile sheria ya kulipa kodi mwezi mmoja imeshapitishwa?

Hapa nyumbani mwenye nyumba ananiletea mapicha picha yaani simuelewi kabisa na ukizingatia leo ndio kwanza tar 17 yaani kuna wiki mbele ili mwezi huu uishe.

Na mwenye nyumba story zake zisielewi kabisa yaani. Ki ukweli ananidai deni la miezi mitatu na mimi nimemwambia vyuma vikilegea nitampa ila hataki kunielewa.

Mbaya zaidi nimemsikia Waziri wa elimu anasema wale tuliopewa mkopo wa elimu ya juu tulipe madeni yetu.

Wakuu ningeomba tupeana mawazo mawili matatu jinsi ya kumpanga huyu Landlord wangu.


Nafwa mwenzenu.

1.Nakala moja apewe stone
2. Nyingine lucuvi
3. Nyingine Ndelicharcoal.
Kamloge ugonjwa wa kusahau cc Mshana Jr
 
Huu uzi unanigusa sana
1. Mwenye nyumba ananidai kodi, kila siku simu yaani mpaka nikisikia mlio wa simu roho inanipasuka
2. Namsomesha mdogo wangu chuo (hana mkopo) , huko nako anadaiwa ada. Ameniambia wameambiwa kabla test 2 hazijaanza wawe wameshalipa, hizo test 2 zenyewe zinaanza katikati ya January
3. Nina watoto wawili wanasoma, January imeshafika natakiwa niwalipie ada na mahitaji mengine ya shule
4. Nina madeni mengine kutoka kwa washkaji ingawa hawanisumbui lkn najisikia vibaya kuchelewa kulipa.

Hapa nimevurugwa hata nikipata hiyo pesa sijui nianze kumlipa nani, dah maisha haya


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani ile sheria ya kulipa kodi mwezi mmoja imeshapitishwa?

Hapa nyumbani mwenye nyumba ananiletea mapicha picha yaani simuelewi kabisa na ukizingatia leo ndio kwanza tar 17 yaani kuna wiki mbele ili mwezi huu uishe.

Na mwenye nyumba story zake zisielewi kabisa yaani. Ki ukweli ananidai deni la miezi mitatu na mimi nimemwambia vyuma vikilegea nitampa ila hataki kunielewa.

Mbaya zaidi nimemsikia Waziri wa elimu anasema wale tuliopewa mkopo wa elimu ya juu tulipe madeni yetu.

Wakuu ningeomba tupeana mawazo mawili matatu jinsi ya kumpanga huyu Landlord wangu.


Nafwa mwenzenu.

1.Nakala moja apewe stone
2. Nyingine lucuvi
3. Nyingine Ndelicharcoal.
Kijana nilipe tu pesa yangu tumalize salama! Kumbe huwa unakuja kuchukua ujuzi huku na unafikri mimi huwa sifiki huku? Tafadhali tuheshimiane kabisaaaa!
 
Back
Top Bottom