Dam Boe
Senior Member
- Jul 29, 2022
- 128
- 87
Habari za majukumu mawakili, kuna mkwaruzano umetokea kati ya mwenye Nyumba na mpangaji Sasa msaada wa ushauri kwenu mawakili.
Ni hivi jamaa ameingia mkataba na baba mwenye Nyumba huo mkataba unasema alipe kodi ya miezi sita, ila yeye hakua na kodi ya miezi hiyo yote hivyo wakakubaliana alipe mitatu baada ya siku kadhaa amalizie hiyo mitatu, kama atashindwa kupeleka hiyo pesa atarudishiwa kodi yake ya miezi mitatu akatafute kwingine, yule mpangaji hakuwahi Kukaa pale wala mkataba na funguo hajakabidhiwa kwa madai kwanza amalize pesa.
Sasa zile siku alizopewa kupeleka salio lililo baki zimekwisha na baba mwenye Nyumba kagoma kurudisha pesa na pia amekataa yule jamaa asikae pale huku akisema mkataba unahesabika tarehe.
Je hili kisheria limekaaje na afanye nini kupata usuluhishi wa jambo lake aidha apate Kukaa kwa kodi hiyi ya miezi mitatu au arudishiwe pesa yake.
Ni hivi jamaa ameingia mkataba na baba mwenye Nyumba huo mkataba unasema alipe kodi ya miezi sita, ila yeye hakua na kodi ya miezi hiyo yote hivyo wakakubaliana alipe mitatu baada ya siku kadhaa amalizie hiyo mitatu, kama atashindwa kupeleka hiyo pesa atarudishiwa kodi yake ya miezi mitatu akatafute kwingine, yule mpangaji hakuwahi Kukaa pale wala mkataba na funguo hajakabidhiwa kwa madai kwanza amalize pesa.
Sasa zile siku alizopewa kupeleka salio lililo baki zimekwisha na baba mwenye Nyumba kagoma kurudisha pesa na pia amekataa yule jamaa asikae pale huku akisema mkataba unahesabika tarehe.
Je hili kisheria limekaaje na afanye nini kupata usuluhishi wa jambo lake aidha apate Kukaa kwa kodi hiyi ya miezi mitatu au arudishiwe pesa yake.