Nadhani huyu mwenye 100M tayari kawekeza mahala ndio sababu mzunguko wake wa fedha umemwezesha kuzipata hizo fedha.Biashara ni Duka la Jumla spare za pikipiki aina zote
Location: Dodoma mjini katikati ya jiji
Kama kuna mwenye kiwango hiko cha pesa na hajui wapi pa kuwekeza aje DM tuingie ubia
Niko serias.
Kama ana uwezo wa kupata milioni 100 hadi 200, basi ni dhahiri kuwa anajua wapi awekeze.Biashara ni Duka la Jumla spare za pikipiki aina zote
Location: Dodoma mjini katikati ya jiji
Kama kuna mwenye kiwango hiko cha pesa na hajui wapi pa kuwekeza aje DM tuingie ubia
Niko serias.