Huu ni ukatili!
hi co hapa bongo acheni uchocheziHuu ni ukatili!
Sijasema kama ni bongo.hi co hapa bongo acheni uchochezi
duuuuuh!! sitaki kuamini umemaanisha ulichosema..hi co hapa bongo acheni uchochezi
Sasa kama mbuzi katoroka zizini nifanyeje? Mbuzi kula majani ya miti sio kosa ndio chakula chake. Nitakwenda kumchukuaKwenye barua kuna maneno 'mbuzi amekamatwa' halafu 'akila miti ya bustani' halafu 'akizurura'. Kwanza wataangalia sheria ya mifugo ambayo tayari imevunjwa na mwenye mbuzi, pili kuharibu bustani.
Kama mimi ndio mwenye huyo mbuzi basi nina-assume mbuzi kaliwa na simba hivyo hamna namna ya kumrejesha.