Kesha mchukua
Tutamsindikiza hadi nyumbani,tukimkuta kijana tutaondoka naye tukampongeze kwa kunenepesha mbuzi!aende bibi au babu kumchukua tena atembelee mkongojo
Kwann waandike akila miti kwenye bustani ya jeshMdhaniavyo ndivyo sivyo nenda mkachukue mbuzi wenu.
Hyo miti ni mali ya Jeshi cyo msitu ile ni bustani ya wazalendo...! Ulitaka waandike mbuzi kala miti ya bustani ya mama lishe....!Kwann waandike akila miti kwenye bustani ya jesh