cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 651
Habari,
Kumekuwa na watumishi wengi walioshinda kesi dhidi ya serikali na serikali kuamuliwa kulipa fidia lakini serikali hailipi.
Je aliyeshinda na kukazia hukumu atafanyaje kutekeleza hukumu husika/kuilazimisha serikali kulipa kwani ninavyoelewa mimi mali za serikali kuu na taasisi zake au akaunti za benki hazishikwi
Kumekuwa na watumishi wengi walioshinda kesi dhidi ya serikali na serikali kuamuliwa kulipa fidia lakini serikali hailipi.
Je aliyeshinda na kukazia hukumu atafanyaje kutekeleza hukumu husika/kuilazimisha serikali kulipa kwani ninavyoelewa mimi mali za serikali kuu na taasisi zake au akaunti za benki hazishikwi