Naombeni kufahamishwa mwenye kujua sababu za ubadilishwaji wa rangi ya bendera ya chadema zaidi ya mara mbili, mara ya kwanza ilikuwa nyeupe na nyeusi,ya pili ikawa ya light bluu na nyeusi na ya sasa hivi nyeupe,nyeusi,nyekundu na light bluu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.