HUSSEN KAMBI
Senior Member
- Dec 4, 2023
- 175
- 212
Kwanza ujitoe akili, nyeusi useme nyekundu, pili uonekane unaipenda ccm kuliko wazee wako walio kuzaa, tatu hue tayari kugombana na yoyote hata kama atakua ndugu yako kama atasema mabaya ya ccm, hayo ni baadhi ya mambo muhimu mtu wa ccm kua nayo kama huna sifa hizo moja wapo basi wewe una vigezo vyakua ccm