Mwenye kujua Apps nzuri ya music player msaada tafadhal

Eti "si kila mtu anapenda kustream". Ni sawa na mtu aseme "si kila mtu anapenda private car, wengine tunapenda daladala"

Nani hapendi kustream anyoshe kidole hapa tumuone?
Kwa hiyo unapenda kudownload nyimbo?

Spotify pia unaweza kusikiliza nyimbo Offline. Hata hilo hujui? Wewe hata kustream music hujawahi... hujui hata experience ya music streaming ikoje.

Listen, una download nyimbo kwa sababu either You can't afford Streaming au kwa sababu hujui experience ya streaming.

Tutafute hela wazee tuache hivi visingizio.
kustream nyimbo ndo kuwa una helaaaaa...! Eehe kweli bongo nyosooo
 
Hujanitoa ushamba, mimi music nasikiliza ila sio sana na sio mara zote huwa nakesha huko Spotify so bado maelezo yako hayatoshi kutetea swali unalokimbia
"Kwa nini watu wasidownload nyimbo mwaka 2023" Naona unazunguka tuView attachment 2695897
Safi kabisa... hapa umenileta uwanja wa nyumbani: Here we go

Sababu ni kwa nini Streaming is a way to go in 2023.

- Music on the go:- wimbo wowote unaoufikiria akilini unausikiliza in just one click away, in a matter of seconds.. in all your devices.

- Unlimited Music:- Streaming ni HUGE music library ambayo Unapata Almost All the music in the world, in one place at any time. Narudia tena, ALMOST ANY MUSIC you can think of.

- Music discovery:- Inakupa Njia ya Kudiscover New Music kutokana na algorithms zake zinazosoma behaviour yako ya unachopendelea kusikiliza and hence zinakupa nyimbo usizozijua lakini utakazozipenda.

- Quality:- Nyimbo za kudownload zipo kwenye mp3 format ambayo ni compressed format, ina loose audio quality.
Streaming kwenye services kama Tidal,Apple Music and Quobuzz inakupa Hi-Res Music, which is best in quality.

- Nyimbo zako ambazo ziko kwenye playlist yako unazipata kwenye devices zako popote pale bila kuhitaji kuhamisha. Nyimbo ulizoziacha Dsm kwenye laptop yako unazipata ukiwa Musoma kwenye device nyingine. Unakuwa nazo popote pale duniani, whenever you demand them.

Mambo ya kudownload hayakupi hizi experiences nilizozisema hapo juu.
 
Unachokipenda wewe si lazima nikipende mimi

Usilazimishe kila mtu awe na mtazamo kama wa kwako mkuu
Mkuu, kuna mtu amekulazimisha popote?

Burudani ni yako, mimi sijakulazimisha. Nimekupa Best alternative na kukuonesha kuwa hayo mambo ya downloading yalishapita... we have a better way of consuming music these days.

Ukitaka fuata ushauri wangu, usipotaka endelea kudownload hamna aliyekukataza.
 
Kustream advantage yake unasikiliza nyimbo mpyaa za kutoshaa ilaa kama unajua ur favourite songs au album download tu maana App za kustream nyingi mpaka ulipie ndo unakwepaa Ads labda upate iliyokuwa cracked...! Me huwa nadownload Billboard chart ya current month natuliaa.. za kibongo ikivuma sana ndo nadownload.
 
Safi kabisa... hapa umenileta uwanja wa nyumbani: Here we go

Sababu ni kwa nini Streaming is a way to go in 2023.

- Music on the go:- wimbo wowote unaoufikiria akilini unausikiliza in just one click away, in a matter of seconds.. in all your devices.

- Unlimited Music:- Streaming ni HUGE music library ambayo Unapata Almost All the music in the world, in one place at any time. Narudia tena, ALMOST ANY MUSIC you can think of.

- Music discovery:- Inakupa Njia ya Kudiscover New Music kutokana na algorithms zake zinazosoma behaviour yako ya unachopendelea kusikiliza and hence zinakupa nyimbo usizozijua lakini utakazozipenda.

- Quality:- Nyimbo za kudownload zipo kwenye mp3 format ambayo ni compressed format, ina loose audio quality.
Streaming kwenye services kama Tidal,Apple Music and Quobuzz inakupa Hi-Res Music, which is best in quality.

- Nyimbo zako ambazo ziko kwenye playlist yako unazipata kwenye devices zako popote pale bila kuhitaji kuhamisha. Nyimbo ulizoziacha Dsm kwenye laptop yako unazipata ukiwa Musoma kwenye device nyingine. Unakuwa nazo popote pale duniani, whenever you demand them.

Mambo ya kudownload hayakupi hizi experiences nilizozisema hapo juu.
Hili ndio jibu ulilopaswa kulitoa tangu mwanzo, na sio yale maneno yako ya kejeli
 
Mkuu, kuna mtu amekulazimisha popote?

Burudani ni yako, mimi sijakulazimisha. Nimekupa Best alternative na kukuonesha kuwa hayo mambo ya downloading yalishapita... we have a better way of consuming music these days.

Ukitaka fuata ushauri wangu, usipotaka endelea kudownload hamna aliyekukataza.
Mwanzoni ulikuwa kama unataka ku force kila mtu afuate njia yako, but at least now umeelewa kuwa ni uchaguzi wa mtu binafsi

Utasafiri na huko njiani mtandao unasoma E then utashindwa kufanya streaming, Utashindwa kuhamisha files kwenda kwenye device ya mtu mwingine kwa sababu uko limited kwenye streaming

That's why si kila mtu atakubaliana na hoja yako kwa asilimia 100
 
Mwanzoni ulikuwa kama unataka ku force kila mtu afuate njia yako, but at least now umeelewa kuwa ni uchaguzi wa mtu binafsi

Utasafiri na huko njiani mtandao unasoma E then utashindwa kufanya streaming, Utashindwa kuhamisha files kwenda kwenye device ya mtu mwingine kwa sababu uko limited kwenye streaming

That's why si kila mtu atakubaliana na hoja yako kwa asilimia 100
Spotify inaruhusu kusave nyimbo ambazo utaziplay ukiwa offline. Ukiwa sehemu mtandao unasoma E bado unakuwa na acess ya nyimbo zako kwenye Spotify.

The same library of your songs, can be available offline if you make them to be.

Hakuna kisingizio.
 
Hili ndio jibu ulilopaswa kulitoa tangu mwanzo, na sio yale maneno yako ya kejeli
Hakuna anayekukejeli.

Kusema kwamba dunia imeshaondoka kwenye mambo ya kudownload nyimbo na kuziweka kwenye flash sio kejeli... ni ukweli ambao watu hamutaki kuusikia.
 
Spotify inaruhusu kusave nyimbo ambazo utaziplay ukiwa offline. Ukiwa sehemu mtandao unasoma E bado unakuwa na acess ya nyimbo zako kwenye Spotify.

The same library of your songs, can be available offline if you make them to be.

Hakuna kisingizio.
Hiyo saving na yenyewe ni nini kama sio ku download
Hata Spotify wanaona umuhimu wa kuwa na nyimbo kwenye device yako.
 
Hakuna anayekukejeli.

Kusema kwamba dunia imeshaondoka kwenye mambo ya kudownload nyimbo na kuziweka kwenye flash sio kejeli... ni ukweli ambao watu hamutaki kuusikia.
Kila mtu aliyekuwa against maoni yako unamwambia atafute hela, as if kutumia Spotify ni expensive
 
Hiyo saving na yenyewe ni nini kama sio ku download
Hata Spotify wanaona umuhimu wa kuwa na nyimbo kwenye device yako.
Hebu punguza ubishi na ujuaji.
Saving sio Downloading. Kwa sababu zile nyimbo huwezi kuziaccess kwenye local drive au huwezi kuzihamisha.

Sio tu spotify, Hata netflix wanaruhusu kusave Movie, ila huwezi kuzi access kwenye hard drive na kuzihamisha... kwa sababu kusave kwenye hizi platforms sio kama kudownload unakokujua wewe.

Saving sio Downloading na sio kila kitu ubishane, vingine kubali kujifunza.
 
Hebu punguza ubishi na ujuaji.
Saving sio Downloading. Kwa sababu zile nyimbo huwezi kuziaccess kwenye local drive au huwezi kuzihamisha.

Sio tu spotify, Hata netflix wanaruhusu kusave Movie, ila huwezi kuzi access kwenye hard drive na kuzihamisha... kwa sababu kusave kwenye hizi platforms sio kama kudownload unakokujua wewe.

Saving sio Downloading na sio kila kitu ubishane, vingine kubali kujifunza.
Najua huwezi ku access kupitia Gallery app, ni kama tu YouTube na application nyingine za streaming
Ile inaitwa downloading, ndio hicho kitu unachokiongelea wewe. Hata YouTube kuna option ya kudownload video lakini hauwezi kuiaccess mpaka utumie hiyo app ya YouTube
Pale unadownload kwa sababu hata kama huwezi kuiaccess kwenye Gallery bado hilo file linakaa kwenye simu yako sio online tena. Unakuwa umedownload


Sasa hapo mwenyewe unajiona unanifunza au unataka kunipotosha, mtu akiwa against na wewe ndio unamwita mjuaji
 
Najua huwezi ku access kupitia Gallery app, ni kama tu YouTube na application nyingine za streaming
Ile inaitwa downloading, ndio hicho kitu unachokiongelea wewe. Hata YouTube kuna option ya kudownload video lakini hauwezi kuiaccess mpaka utumie hiyo app ya YouTube
Pale unadownload kwa sababu hata kama huwezi kuiaccess kwenye Gallery bado hilo file linakaa kwenye simu yako sio online tena. Unakuwa umedownload


Sasa hapo mwenyewe unajiona unanifunza au unataka kunipotosha, mtu akiwa against na wewe ndio unamwita mjuaji
Pumzika mkuu... inatosha
 
Hoja hujibiwa kwa hoja sio kuikimbia
Una save vipi kitu cha online kwenye device yako bila ku download?
Streaming services zinakuruhusu ku download files ila ili uweze ku access unapaswa utumie hiyo streaming app

Kama unatumia YouTube basi utaelewa, acha kupotosha watu hapa
Kakimbia
Cku nyingine ucjihangaishe na hawa wajuaji wa JF mkuu sasa mtu anasema kusave nyimbo spotify sio kudownload
I laugh in Swahili
 
Kakimbia
Cku nyingine ucjihangaishe na hawa wajuaji wa JF mkuu sasa mtu anasema kusave nyimbo spotify sio kudownload
I laugh in Swahili
Hajakimbia, yuko humu humu na anaona
Anapaswa kujua kuwa ile action ya ku save files zake Spotify inaitwa downloading
Haina tofauti na hii option ya ku download video YouTube
But huwezi ku access mpaka utumie YouTube
IMG_20230722_133411.jpg
 
Back
Top Bottom