DR. RICHARD
Senior Member
- Jun 24, 2012
- 123
- 25
Habari wana JF, ninappenda kujua zaidi hawa jamaa, vitu kama vile ufanyaji wao wa kazi na maslahi kwani hivi karibuni walitoa nafasi za kazi mimi niliomba kazi na wamenitumia maswali ya interview, naomba yeyote mwenye kuwajua anisaidie kabla sijazama nao kikazi. Asanteni.