Naomba kwa mwenye kufahamu application nzuri ya kuangalizia mpira hasa wa ulaya anisaidie nidownload maana mazingira niliyopo nashindwa kuangalia mpira wakati ndiyo burudani yangu kuu baada na nanihino.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.