chizcom JF-Expert Member Jul 31, 2016 7,581 15,722 Jul 7, 2022 #1 Nimepiga hesabu mpaka sasa sijaelewa hii ni nauli ya kwenda china au watakuwa wamekosea
wansawa JF-Expert Member Oct 11, 2020 851 849 Jul 7, 2022 #4 Kuna mawasiliano yao hapo ingia kwenye mtandao uwaulize wenyewe.
nicksonmoses JF-Expert Member Aug 3, 2015 244 601 Jul 7, 2022 #5 Au wameongeza sifuri moja kwenye kuchapa tangazo
C Covax JF-Expert Member Feb 15, 2021 6,289 21,477 Jul 7, 2022 #6 chizcom said: Nimepiga hesabu mpaka sasa sijaelewa hii ni nauli ya kwenda china au watakuwa wamekosea View attachment 2283410 Click to expand... Pamoja na Tozo la serikali
chizcom said: Nimepiga hesabu mpaka sasa sijaelewa hii ni nauli ya kwenda china au watakuwa wamekosea View attachment 2283410 Click to expand... Pamoja na Tozo la serikali
May Day JF-Expert Member May 18, 2018 6,162 8,820 Jul 7, 2022 #7 Labda kuna kuzunguka na Ndege angani kabla ya kutua.
chizcom JF-Expert Member Jul 31, 2016 7,581 15,722 Jul 7, 2022 Thread starter #9 MR LINKO said: Go and return au. Hatari. Click to expand... kwenda hiyo tu
YEHODAYA JF-Expert Member Aug 9, 2015 36,908 51,907 Jul 7, 2022 #10 Ujinga enzi hizi za kukata ticket online unasema zinapatikana ofisini tu tena Head office !! aiseee
EP cosmetics JF-Expert Member Oct 18, 2015 2,471 3,847 Jul 7, 2022 #11 MR LINKO said: Go and return au. Hatari. Click to expand... Hata kama ni return ticket sio kwa bei hizoo ni kubwa sana bado
MR LINKO said: Go and return au. Hatari. Click to expand... Hata kama ni return ticket sio kwa bei hizoo ni kubwa sana bado
Fall Army Worm JF-Expert Member Jan 8, 2015 19,331 14,259 Jul 8, 2022 #14 Duh!!,Au china haipo sayari hii?!.