Mwenye galaxy note 3 ilionyooka

Extrovert

JF-Expert Member
Feb 29, 2016
70,713
186,442
Natafuta galaxy note 3 original, ikiwa mpya au used sio shida ila iwe katika hali ya kuridhisha kiasi cha kunishawishi kukutunukia kiasi cha tshs tembo 40 chap chap (400k), naihitaji leo kabla jua halijazama na kuitwa usiku wa Jumamosi, mwenye nayo ani pm tafadhali

NB: ISIWE NA MAPUNGUFU YOYOTE YASIOVUMILIKA
 
Dah.. safi sana tumeanza kubadilika.. ile habari ya kuambiwa lete kuku mweusi au mbuzi mweusi sasa haipo tena.. unaambiwa live lete galaxy note 3 au laptop au hata tv. Hongereni waganga
 
Dah.. safi sana tumeanza kubadilika.. ile habari ya kuambiwa lete kuku mweusi au mbuzi mweusi sasa haipo tena.. unaambiwa live lete galaxy note 3 au laptop au hata tv. Hongereni waganga

Rohombaya
 
Kwa nn used kwa 400k, ongeza 120uchukue galaxy j7 kwa 520k,
Sifa imezidiwa mnara tu note ina 4g. While j7ina 3g. Ila 7ina flash kwenye kamera ya mbele na kkushawishi upige selfie safi kabisa.
Pia internal storage ni sawa tu 16gb na hyo note unayoihitaji. Na kizuri zaidi j7 ni ya 2016 march na baadhi ya miji kma bostoni ndio inazinduliwa leo.
 
balance imebana ningechukua hata iphone 6 plus kama pumzi ingekuwepo ofisa kama unayo note tufanye biashara
 
Back
Top Bottom