Samahani ndugu yangu, wewe hapo ulipo umeajiri watu wangapi?Kuandika barua ya maombi ya kazi mpaka kuhudhuria interview ni moja ya weekness kubwa sana kwenye maisha.
Yaani unapambana uridhishe takataka mmoja as if anakusaidia saana maisha.
Mtu kama huyo hata ukimwajiri anatakiwa kika siku awe anakulamba makalio, boss boss, boss ili aishi.