Mwenye CV ya Spika (Mussa Zungu)

Tukiendelea kumpongeza Mheshimiwa Zungu. Naomba mwenye CV yake aiweke hapa kwa manufaa ya wengi. Asante.
Pascal Mayalla
  1. Elimu ya sekondari
  2. Skolashipu ya serikali kwenda kusomea Ufundi wa ndege nchini Kanada
  3. Ajira Fundi wa ndege JWTZ Kamandi ya anga mara baada ya kurudi nchini
  4. Veterani wa Vita ya Kagera kumng'oa Nduli Idi Amin Dada 1978 /79
  5. Afisa mtambuzi / military intelligence TPDF
  6. **Utumishi JWTZ akastaafu mapema 1982 / 1983 vuguvugu la uhaini ?? dhidi ya utawala wa Nyerere ??
  7. Askari wa akiba JWTZ
  8. Kujitupa katika Biashara
  9. Kujiunga na Siasa
  10. Mbunge
  11. Naibu Spika
  12. Spika
***
 
Tukiendelea kumpongeza Mheshimiwa Dr Musa Azzan Zungu. Naomba mwenye CV yake aiweke hapa kwa manufaa ya wengi. Asante.
Pascal Mayalla
Nimjuavyo, kwao ni Mtaa wa Uhuru Kariakoo. Alikuwa bahari wakati fulani hadi aliporejea na kujiingiza kwenye siasa za mtaani. Zaidi ya hapo, sijui kama ana shule yoyote ingawa kwenye magazeti wanasema ni mhandisi wa ndege.
 
NCHI INABAKWA HII AISEE
 
Hiyo skolashipu haina kiwango cha elimu?
Bila shaka huyu ni kipenyo kitambo
 
Bila shaka ni TISS huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…