Mwenye CV ya Mbwiga


Sikufahamu tu Ndugu ila Umenifurahisha na Umenikuna Sana na Umemaliza Kila Kitu. Kama Hutojali Nitumie Namba Yako Ya Tigo au M Pesa Japo Nikurushie hata Tsh 5,000/= tu Ya Kunywa Maji na Nipo Serious.
 
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi, wewe Kama unaona anachemsha tafuta station nyingine ckiliza tuachie na burudani wetu same time wengine tunaamka na mawazo kibao lakini ukifungua clouds ukamsikia duuu burudaaani mawazo yote tupa kule!
 

M-Tz kula likeeee kubwa..unanuna nini maisha umeyakosea mwenyewe utakua kama jogoo unawahi kuamka na kuwika lakini mlango huwezi kuufungua...hamna hamna ndo mlimwamo mjini mipango ohooo jipangee...#teammbwiga
 
M-Tz kula likeeee kubwa..unanuna nini maisha umeyakosea mwenyewe utakua kama jogoo unawahi kuamka na kuwika lakini mlango huwezi kuufungua...hamna hamna ndo mlimwamo mjini mipango ohooo jipangee...#teammbwiga

Hatareee!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hamuwajui vizuri hawa jamaa wanaojiita clouds watamtafutia chuo wampe DK wa heshima na mbwembwe zake (kwa lafudhi yake) utasikia "DK MBIGA MBWIGUKE MKOLE WA NYANI KIBWAYA MKIA
 
Hamuwajui vizuri hawa jamaa wanaojiita clouds watamtafutia chuo wampe DK wa heshima na mbwembwe zake (kwa lafudhi yake) utasikia "DK MBIGA MBWIGUKE MKOLE WA NYANI KIBWAYA MKIA

Du! Itabidi aanzie nursery school maana hajui kusoma hasa maandishi madogo madogo, mpaka apate PHD atakuwa na umri kama Mugabe.

Body without head
 
Habari wana JF, hii asubuhi Mbwiga ameshindwa ku peruzi magazeti Clouds fm, sidhani hata kama darasa la saba alimaliza, mwenye CV yake atujuze tafadhari.
Nawakilisha.

hapo kwenye red ndo nini?
siku nyingine sema NAWASILISHA
 
Du! Itabidi aanzie nursery school maana hajui kusoma hasa maandishi madogo madogo, mpaka apate PHD atakuwa na umri kama Mugabe.

Body without head

Kwani J.K anaitwa DK unadhani alisomea wapi alilala na kuamka akaitwa DK JK
 
Mbwiga alikua msemaji wa jeshi la anga nchini Tanzania, baadae akaamia TAMISEMI then akala mpunga alipo sasa. kweli hata mimi nilisikiliza p.breakfast asubuhi ilikua ovyo sana, au labda hakujipanga.
 
Mbwiga alikua msemaji wa jeshi la anga nchini Tanzania, baadae akaamia TAMISEMI then akala mpunga alipo sasa. kweli hata mimi nilisikiliza p.breakfast asubuhi ilikua ovyo sana, au labda hakujipanga.

Siyo hakujipanga! Hajui kusoma, tena hapo amejitahidi sana alisoma tu zile headlines kubwa (bold) alifanya mazoezi baada ya kuambiwa na Barbara ndiyo akafanya mazoezi! Maandishi madogo anaona kama sisimizi wanatembea.

Body without head
 
Mbwiga si mtangazaji clauds bali ni mshehereshaji wa baadhi ya vipindi.
Kwa ufupi tu Mbwiga ni mtoto wa mjini nawewe kama ni wakuja Dar Mbwiga humuwezi.

Kiufupi ni chachandu yao. Hivi definition ya Mtoto wa mjini ndo ikoje
 

daah ulivyoandika hicho kiswahili vizuri hadi unawashinda wahitimu kibao tu wa vyou vikuu japo wewe darasa la saba, kama kweli lakini.....
 
Acheni bana apige life kwani kitu gani sasa!!!!!!

Hivi mmewahi kuingi studio?????!!!!
Watu kwenye kamati za harusi tu wakipewa mic kujitambulisha wanaanza mbwa mbwa itakuwa kunogesha kipindi!!!????

Piga kazi Mbwiga "mkulukumwao" zilongwa mbali zitendwa mbali; kipaji ndio mpango kwako achana na magenda ubwele pangu pakavu!!!!!!!
 
"muwacheni mbwiga upumuwe".cv yake ya nini?mmesikia anataka kugombea ubunge?!.

Kama ni hivyo kwa nini wewe/nduguyo/mwanao/ rafiki yako wanahangaika na kugharamia kupata taaluma mbalimbali? kuna haja gani ya kuwa na vyuo vya taaluma mbalimbali? Kwa kweli haya ni mawazo potofu ya hali ya juu sana niliyosikia toka mwaka huu uanze!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…