Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
- Thread starter
- #21
Ndio tatizo lenu wabongo, msimjue mtu hata kidogo inakuwa nongwa. Kama aliweza kuanzisha kampuni na ikasimama na kutoa ajira basi anafaa manake kuna babu zenu wako bungeni toka uhuru lakini hawana hata duka la kuajiri watu wawili na katika payroll wanaondoka na 7digits kitambo.
Mapungufu kila mtu anayo hata wewe unayo, lakini isiwe ndio sababu ya kusimamia vidole gumba kuleta utata.
Hoja ni kuwa tuliahidiwa kuletewa watu waadilifu.
Kuwa na kampuni ya kuajiri watu na kuwalipa kwa payroll siyo kipimo cha uadilifu.
bado ume-divert hoja.
tuendelee na mada.