Mwenge: Ni Mwanga Tu Au Kuna Uvumba Fulani Unafukizwa Ili Kupumbaza Watanzania? Is it Justified?.

Hiyo mikesha ya mwenge condom nyingi huonekana alfajiri zimetupwa,yani wanakesha kubinjuana tu na kupeana upungufu wa kinga,mafisiem akili zko ziko kiunoni
tapatalk_1522228566907.jpeg
 
Sidhani kama kuna uvumba wa kutupumbaza bw. Pascal Mayalla..
Waasisi wetu wanadai ....
Uhuru Torch
The Uhuru Torch[1] (Swahili: Mwenge wa Uhuru, literally "Torch of Freedom") is one of the National Symbols of Tanzania. It is a kerosene torch. It symbolizes freedom and light. It was first lit on top of Mount Kilimanjaro on December 9, 1961 by Alexander Nyirenda. [2] Symbolically to Shine the country and across the borders to bring hope where there is despair, love where there is enmity and respect where there is hatred. The Uhuru Torch race takes place every year starting from different places.

Ila ebu tuangalie kama nchi zingine kama wanatamaduni ya kupeana moyo, motisha, maendeleo, kusema na kutatua kero kwa kutumia MIENGE yao...
  • Scottish people are happy to fly the Saltire, (St Andrew’s cross/the Scottish flag)
  • English people The Royal Banner of England and St George's Cross...
  • USA...Statue of Liberty..
  • Greece Tower of the Winds, Athens
  • Italy The Guinigi Tower, Lucca..
  • France The Cathedral at Amiens...
  • White Tower, London, UK...
  • Le Tour Eiffel, Paris, France
  • ....
Nakadhalika...
Kila nchi ina njia zake za kuwaletea wananchi wake hope, love and respect...Sisi ni Mwenge...
 
..Sidhani kama ni busara kutumia fedha, mali, na muda wetu, kukimbiza mwenge.

..Shuhudieni ktk " clip " hapo chini mambo yasiyo na manufaa yoyote yanayofanyika wakati wa mbio za mwenge.

..hivi kweli watoto wetu wanastahili kukatishwa masomo kwenda kupokea mwenge?
Mkuu Joka Kuu nimejaribu kuchangia ikanigomea hivyo nimekuleta huku

Mambo ya Mwenge, tuliwahi kuuliza humu
Mwenge: Ni Mwanga Tu Au Kuna Uvumba Fulani Unafukizwa Ili Kupumbaza Watanzania? Is it Justified?. - JamiiForums

Pia niliwahi kusema hivi kuhusu Mwenge
Ingekuwa ni Amri Yake, Magufuli Angefutilia Mbali Mbio za Mwenge!, Jee Ni Amri ya Nani?!. - JamiiForums

P.
 
Ungekuwa ni mwanga tu, hata kuanzishwa usingeanzishwa, yaani usingekuwepo lakini kwa vile upo maana yake ni zaidi ya mwanga huu wa kawaida wa kibatari.

Nasikia pia watu wa madawa ya mapenzi huwa wanatumia kibatari, ukitaka mlengwa wako aje unawasha hicho kibatari, hichi ndicho mchonga alitotuachia na kimeo cha katiba.
 
Huwa nafurahia tu siku ya mwenge watu wanafanya ng'ono zembe harafu mwaka unao fata wanapima vvu kuangalia viwango vya maambukizi ya ukimwi
Mwenge in maagano na makafara angalia mambo haya umiImika watahakikisha hakuna atakayeona wanawasha,wanaokimbiza wanakula kiapo na akibadilishwa MTU lazima atoke juu
 
Wanabodi,

Hili ni swali tuu najiuliza kuhusu hizi mbio za Mwenge wa Uhuru zinazoendelea sasa. Kwenye Mwenge kinachokimbizwa nchi nzima, jee kweli ni ule mwanga tuu ili kumulikia na kuangazia, au ni ule moshi mzito mweusi kana kwamba kuna dawa fulani za uvumba zinazonyunyuziwa kama ubani, kisha zinatumika na Mwenge kuwafukiza Watanzania ili kuendelea kuwapumbaza ili waendelee....(naomba nisimalizie).

Rais Magufuli alipoingia tuu madarakani na kufuta maadhimisho ya sherehe muhimu kama ya Uhuru kwa hoja kuwa hazi justify the cost for spending so much kwenye sherehe tuu huku hospitali zetu zikikosa madawa na wagonjwa wanalala chini kwa ukosefu wa fedha. Moja kwa moja nilidhania kuwa sasa huu ndio utakuwa mwisho wa kuzungusha kwa Mwenge wa Uhuru. Lakini hali haikuwa hivyo.
Ingekuwa ni Amri Yake, Magufuli Angefutilia Mbali Mbio za Mwenge!, Jee Ni Amri ya Nani?!.

Hivyo hili ni swali kwa wenye ufahamu wa ndani kuhusu huu Mwenge, tuelezane ukweli jamani. Kinachozungushwa ni Mwenge lakini the essence ni ule mwanga tuu wa kumulikia au ni ule moshi unaofukizwa kama vile umetiwa mavumba fulani kuwapumbaza Watanzania?!.
.
Kama Tanzania tunataka maendeleo ya kweli ni lazima tuwe very serious kwa kuachana na kuendekeza matukio stereotype na kumaitains positions ambazo ni redundancies just to maintain a status quo, kwa vile zilikuwepo! .

When are we gonna change? . Yaani kwa Magufuli huyu aliyefuta sherehe za Uhuru lakini ana maintain mbio za Mwenge, huu Mwenge una nini haswa? . Tuelimishane jamani!.
Jumatano njema.
Paskali
update.
Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru
Uelimishwe vipi zaidi Pascal na unajua mchawi wetu ni Forojo Ganze (master).Au unaelimisha wengine?
 
Pascal unaelewa sana ila umejifanya kuuliza huku uliyoyaeleza ni ukweli mtupu. Mwenge ni uchawi kazi yake ni kupumbaza watanzania kupitia huo moshi. Mwenge ni mungu wa ccm anaitwa Nyamrunda.
 
KUNA SIKU NILIINGIA OFISINI KWA DED KTK H/W FLANI SIKUJUA KUMBE WALIKUWA WANAUFANYIA DRESSING M.WENGE NILIKULA KOFI NIKANYANYULIWA TAMA LA MAANA NIKAULIZWA NIMEONA NINI NA NILITUMWA NA NANI JAMBO HILI HADI LEO LINANIFIKIRISHA SANA KWANI NILIPOINGIA NILIONA KITU MITHIRI YA KICHWA KIKUBWA CHA NYOKA LAKINI KABLA SIJATAZAMA VIZURI NDIPO NIKAJIKUTA NAOGELEA MAKOFI NA MITAMA, KUNA AFISA USALAMA FLANI ALINIFUATILIA SANA NA AKAWA KILA TUKIONANA ANANIULIZA NILIONA NINI NIKAMWAMBIA NILIONA MW.ENGE, AKAWA ANAPOTEA.
KUNA KIPINDI NILIBAHATIKA KUMUULIZA MZEE WANGU MMOJA KULE BAGAMOYO KWAMBA ANAJUA NINI KUHUSU MWENGE ALINAMBIA UMRI WAKO BADO MDOGO KUKUELEZA UKWELI KUHUSU MWENGE KWANI NI USHIRIKINA WA KIWANGO CHA LAMI NA AKANAMBIA KIUHALISIA UNATAKIWA UZUNGUKE NCHI NZIMA SIKU CHACHE KABLA YA UCHAGUZI LAKINI WALIONA WATASHTUKIWA WAKAONA UZUNGUKE KILA MWAKA ILI UONEKANE NI KAMA KITU CHA KAWAIDA NA AKANAMBIA IKIJA TOKEA MTU MMOJA AKAJITOA UFAHAMU AKAUBWAGA CHINI BASI MWENYE KICHWA ATAJITOKEZA NA ASILI YA KIUMBE HUYO ANATOKEA KWENYE PANGO MOJA LIPO HUKO BAGAMOYO AMBAKO FOROJO ALIKAA HUKO ZAIDI YA SIKU KUMI
 
Mwenye akili angekuja na Idadi na thamani ya miradi iliyofunguliwa na Mwenge toka tupate uhuru VS Gharama zilizotumiwa na Mwenge.

Hii ndio njia ya kisayansi ya kuujadili mwenge !!
Kufikiria eti ni kile kibatari kinafungua miradi ni undondocha kabisa. Mbona mawe ya msingi hayawekwi na mwenge? Na ule umalaya unaofanyika kwenye mikesha ya hicho kibatari ni sehemu ya Ibada ya huo ushetani?
 
Back
Top Bottom