Mwendokasi imetuletea Taabu Ya Usafiri

umesaahauuu weziwamifukoniii tenaaa mabintiii kabisaaa wazuriii usiniulize zaidi
 
Ahahaaa pole sana. Apo kny kugombaniana unafika home una makovu kila mahali.
Kuna siku nlipanda k/koo to ubungo nilijuta. Sipandi tena hayo madude
 
Huko kwenye mwendo kasi kama kwenye management kuna wahindi basi ni sawa haya matatizo kutokea maana watahakikisha gharama za uendeshaji zinapungua kwa gharama zozote zile.
Kama ni mzungu hajapa ushauri
 
Makovu oi... Chumvi umezidisha na mboga imeungua... Hiki kilio kikifika kwa mzee Wa magogoni jibu lake halitatofautiana na lile la kivuko... Mpige mbizi....
 
Ahahaaa pole sana. Apo kny kugombaniana unafika home una makovu kila mahali.
Kuna siku nlipanda k/koo to ubungo nilijuta. Sipandi tena hayo madude
Ahsante pole nawe
Kwa hiyo na wewe huwa una avoid possibilitu yoyte ya kupanda mwendo kasi eeh!?
 
Yaani ukitaka kuchelewa siku hizi panda mwendokasi!
 
Kwa hali hii Bodaboda inabaki kuwa usafiri Wa haraka kabisa hapa mjini japo si salama sana!
Chanzo cha Matatizo yote ni Sumatra kulazimisha nauli ya 650 kiasi kwamba hata ku break even imekuwa Shida
 
Makovu oi... Chumvi umezidisha na mboga imeungua... Hiki kilio kikifika kwa mzee Wa magogoni jibu lake halitatofautiana na lile la kivuko... Mpige mbizi....
Nilshuhudia mtu akikanyagwa mlangoni baada ya kujikwaa alipokwa akigombea kuingia. Nadhani alipata makovu na maumivu ya kutosha. Mwingine nasikia alivunjika mguu baada ya mguu wake ku miss kale ka ngazi ka kuingilia mlangoni.
Mwendokasi ni shida ikifika mida fulani hivi.
Kwa sasa mwendokas ni bomu.
 
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
 
Jana nimekaa pale DIT saa nzima kuanzia saa mbili unusu jioni hadi Tatu unusu nasubiri usafiri hadi kero. Nilichukia sana saa nzima kukaa kituoni![emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
 
[HASHTAG]#USIFANYEMAKOSATENA2020[/HASHTAG]
[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
 
Kwa kweli nimejuta kupanda hii mibasi...bora niende mawasiliano nipande basi za makumbusho harafu za posta au za steshen kuliko hii adha ya hii mibasi ya isiyo na hewa kwa kubanana na miharufu ya jasho
 
Kuna siku yatatutoa sadaka jana mida ya jioni kama saa mbili ivi nimepata gari pale fery baada ya kulisubiri kama lisaa na nusu ivi watu kibao hakuna hewa magari yana joto mpaka mtu unakosa hewa Nzuri , matokeo yake gari limefika kituo Cha Fire tunataka kuvuka mataa kuelekea jangwani Gari likazima lenyewe. Japo liliwaka ila lile joto la mule na lile shazi kwa kweli mtatufanya tupeane magonjwa ya hewa[emoji35]
 
Ni kweli kabisa Bora tungebaki na daladala zetu zilikua zinakidhi mahitaji.kwenye mwendo kasi tunakuwepo na sio kukaa tunapangwa kama ngombe.kabisa.Hii tumelazimishwa .
 
Jana nimekaa pale DIT saa nzima kuanzia saa mbili unusu jioni hadi Tatu unusu nasubiri usafiri hadi kero. Nilichukia sana saa nzima kukaa kituoni![emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Mbn kwa mwendokasi kawaida,yaani ukitaka kupanda jiandae kisaikolojia kbs
 
Vumilieni tu, serikali inawapenda nauli 650/-. Mkitaka yawe kama inavyotakiwa nauli itabidii iwe 1200/-.
 
Tatizo la huu usafiri wa Mwendokasi ni biashara badala ya Huduma ya Umma kama nchi za wenzetu.
Huduma serikali inabidi ichangie lakini wao wamepunguza nauli badala ya kuchangia.
 
Wanaudhi sana kuanzia mabasi uongozi, serikali na sumatra kwa mwenendo wa haya mabasi


Yamekua kero si kidogo sijui hawaoni au ni upuuzi tu wa umangi meza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…