Mwendokasi apewe mchina

Mwendokasi apewe mchina

Mashamba Makubwa Nalima

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2024
Posts
7,658
Reaction score
3,746
Ndiyo naingia nyumbani kwangu mida hii.

Wife amenunua, nimemkuta ametoa begi lake la nguo anapiga pasi, anataka kurudi kwao anasema " Mashamba Makubwa Nalima umepata mke wewe, niache mimi nirudi nyumbani, nina kwetu!"

Ila mimi sikuwa sehemu yoyote zaidi ya pale Morocco nikisubiri bus tokea saa 12:00 jioni.

Mwendokasi mnatukosea.

Nashauri apewe Mchina.
gettyimages-486403488-612x612.jpg



Wapi wanauza maua? Wape naweza mpeleka shemu wenu kwa ajili ya dinner kesho? Kama unataarifa niPM
 
Ndiyo naingia nyumbani kwangu mida hii.

Wife amenunua, nimemkuta ametoa begi lake la nguo anapiga pasi, anataka kurudi kwao anasema " Mashamba Makubwa Nalima umepata mke wewe, niache mimi nirudi nyumbani, nina kwetu!"

Ila mimi sikuwa sehemu yoyote zaidi ya pale Morocco nikisubiri bus tokea saa 12:00 jioni.

Mwendokasi mnatukosea.

Nashauri apewe Mchina.
View attachment 3280091


Wapi wanauza maua? Wape naweza mpeleka shemu wenu kwa ajili ya dinner kesho? Kama unataarifa niPM
Ili wakati mnarudi umpandishe mwendo kasi mkae kituoni toka saa 11 mje kufika home saa saba usku.
Bora daladala zetu za kawaida naona wanatuletea huku tegeta na aliyepewa tenda ya barabara anachimba tu hajengi
 
Bora wewe ulifika home salama , mi nilikaa kituoni ubungo saa nzima kila bus likija toka kimara limejaa vibaya mno mengine yanapita bila kusimama, likaja bus lina kanafasi kadogo nikaingia, basi sina hamu na mwendokasi maana niliibiwa vibaya, pesa zote mfukoni na risiti za manunuzi za kufanya retirement ofisini.
Yaani kuna vijana wanakaa mlangoni kama sita hawa ni kampuni moja ndani ya bus kuna nafasi ya kama watu wawili pale katikati kwenye maungio ya lile bus refu , ukiomba hawa wahuni wakupishe upite hawakupishi, wanakusemesha ujinga kukutoa mchezoni, unaminyana kupenya mda huo bila wewe kujua wanapekshi mifuko yako na kukuibia, serikali iongeze mabasi watu tunaibiwa, ndani hewa hakuna , watu wamejazana hakuna hata kupumua vizuri, watu wanaambukizana magonjwa kama tb na mpox, basi kero tupu, kuishi nchi maskini na viongozi wasiojali raia ni tabu sana.
 
Nikiangalia sura za wananchi wengi wafki kwa viomgozi kulinda matumbo yao Haswa machawa, likewise sura za viongozi zimekaa kipigaji Ila mida karibu na chaguzi wanaekti kinafiki kuwaogopa wananchi ili washinde wawapige Tena,,,li nchi la ajabu
 
Ndiyo naingia nyumbani kwangu mida hii.

Wife amenunua, nimemkuta ametoa begi lake la nguo anapiga pasi, anataka kurudi kwao anasema " Mashamba Makubwa Nalima umepata mke wewe, niache mimi nirudi nyumbani, nina kwetu!"

Ila mimi sikuwa sehemu yoyote zaidi ya pale Morocco nikisubiri bus tokea saa 12:00 jioni.

Mwendokasi mnatukosea.

Nashauri apewe Mchina.
View attachment 3280091


Wapi wanauza maua? Wape naweza mpeleka shemu wenu kwa ajili ya dinner kesho? Kama unataarifa niPM
Wapewe CCM kwa sababu wanauchungu nayo hivyo wataitunza na kuiendesha kwa ufanisi.
 
Wachinaa miaka 30....daa aibu sanaa....kila kitu tunashindwa ku run wenyewe aibuuuu.....train tazara miaka 30....wakitupa 20yrs....inakufa tena
 
Vivuko vya baharini, mwendokasi, madaraja juu ya bahari, garimoshi la dakitari mwakyembe, madaraja ya intachenji, Barbara mzunguko na miradi ya Kila aina na Bado Hali si shwari usafiri ndani ya jiji....... nini itakuwa hatma ya jiji na Imetabiriwa na watakwimu wa sensa idadi ya watu itaongezeka baada ya miaka kadhaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom