Mwendo wa Samia, uzi wa ushindi

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,773
Reaction score
1,174
Zikiwa zimebaki siku 7 pekee kuelekea uzinduzi rasmi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025, wakina dada wamejitokeza kwa ubunifu kupitia photoshoot ya mshikamano kuonesha mapenzi na imani yao kwa Mgombea Urais wa CCM, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Hizi ni zaidi ya picha, ni ujumbe wa matumaini na uthibitisho kuwa kizazi cha sasa kinaamini katika dira ya maendeleo na utu. Kwa pamoja wanasema, Mwendo wa Samia ni Mwendo wa Maendeleo.

 

Attachments

  • IMG-20250821-WA0098.jpg
    99.4 KB · Views: 19
  • IMG-20250821-WA0103.jpg
    63.4 KB · Views: 20
  • IMG-20250821-WA0102(1).jpg
    141.8 KB · Views: 17
  • IMG-20250821-WA0104.jpg
    176 KB · Views: 20
  • IMG-20250821-WA0099.jpg
    122.2 KB · Views: 17
  • IMG-20250821-WA0100.jpg
    104.5 KB · Views: 17
  • IMG-20250821-WA0105.jpg
    126.7 KB · Views: 17
Super!. Kazi tuliishamaliza kitambo sana!, Pre GE2025 - LGE2024 - Mwana JF, Be The First to Know CCM Ndie The Overall Winner wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 Kufuatia Ushindi Serikali za Mitaa。CCM Amekomba Almost Everything!
P
 
Samia mitano tena october tuna✔️
 
Kikubwa hawajavunja sheria. Peda ya mavazi ya kwao. Pesa ya Photoshoot ya kwao. Basi.
 
Tanzania ndo nchi pekee duniani sura za wanasiasa zimezagaa kwenye upeo wa macho ya wananchi maana hawana la kuonyesha kwenye mioyo yao..
 
Subiri Hafrey aongee kwanza
 
Tunatiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…