Alloyce PR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 590
- 706
"Kila mwendo unaoulazimisha hubeba mizigo ya wengine, si ndoto yako. Epuka kuishi kwa kasi ya matarajio ya watu, ukasahau mwito wa dhamira ya akili yako." — Alloyce, P.R.
Msingi wa binadamu mwenye kuhitaji kufanikiwa, kwanza lazima apende kile anachokifanya, pili usiruhusu kukimbia na watu wasioendana na mwendo wako. 🙏🙏🙏Matajiri wengi wanadai wanafanya vitu wasivyovipenda - hii imekaaje mkuu?
Kwamba usiruhusu mtizamo wa wengine kuhusu wewe uwaje ndiyo ukuongoze?Msingi wa binadamu mwenye kuhitaji kufanikiwa, kwanza lazima apende kile anachokifanya, pili usiruhusu kukimbia na watu wasioendana na mwendo wako. 🙏🙏🙏
Kabisa alf na kuepuka kutumiwa kwa faida yaoMsingi wa binadamu mwenye kuhitaji kufanikiwa, kwanza lazima apende kile anachokifanya, pili usiruhusu kukimbia na watu wasioendana na mwendo wako. 🙏🙏🙏
Kwamba usiruhusu mtizamo wa wengine kuhusu wewe uwaje ndiyo ukuongoze?
Au....
Kwamba usishirikiane na watu wenye maono hafifu kuliko yako na umewazidi kwenye angle fulani?(wasioendana na mwendo wako).
Au....
Kwamba usishirikiane na waliokuzidi nguvu - matajiri may be? (wasioendana na mwendo wako).