Wapendwa, mwandaaji wa Zunduna Show bibie
Zinduna ameniachia jukumu la kuchagua
atakayeendesha kipindi na
atakayekuwa mgeni so nafikiria haya:
Mwendeshaji awe
Bishanga na mgeni awe
The secretary ila nahofia ngumi kuzuka katikati ya kipindi
Mwendeshaji awe
platozoom na mgeni awe
charminglady -Nahofu wanabembelezana kurudiana
Mwendeshaji awe Mr Rocky na mgeni awe Yummy -Hawa nahisi watazungumzia mimba yao na Kijacho chao
Mwendeshaji awe
Erotica -Mh nahofia atabadili Chit-Chat kuwa Jukwaa la wakubwa
Mwendeshaji akiwa
Kaizer na Mgeni
CUTE -Kaizer atamtongoza Cute muda wote hadi aharibu kipindi
Mwendeshaji akiwa
beibe nasty na mgeni
Judgement -Hawa nahisi watazungumzia Sato na Sangala tu
Mwendeshaji awe
mtu chake na Mgeni Preta -Heheheee
TANMO na
KakaKiiza wataharibu show kwa wivu
Mwendeshaji akiwa
cacico na mgeni
Young_Master Mh hawa sijajua kama hawana visasi
Mwendeshaji akiwa
Asprin na mgeni
Catherine nahofia anaweza fanya ukaguzi katikati ya Show
Mwendeshaji akiwa
sweetlady na Mgeni awe
Kongosho -Watabaki kupiga umbea tu lol
Mwendeshaji akiwa
BADILI TABIA na mgeni
BAGAH -hawa hawajatulia show itanoga
Mwendeshaji awe
Smiling Saint -Atamsahau mgeni na kuanza safari zake
Au natamani mimi niwe Mwendeshaji na Mgeni awe
Amyner ila nahofia wambea kuniharibia tena
Au
Roulette awe Mwendeshaji na Mgeni awe
Invisible Lol nahisi show itakuwa bomba sana
Jamani nawaombeni mnisaidie kupata wahisika kabla ya jumamosi na watakaochaguliwa wahakikishe wanaandaa show mapema!
Kwa niaba ya Zinduna naomba kuwakilisha
Erickb52