Mda si mrefu atateuliwa kuwa Balozi, hahahaaaa.
hiyo nafasi yake huenda akarithi KAMUANDA muuaji wa mwangosi
Bora Kamuhanda x10 kuliko Nyombi... Huyu ndiye injinia wa kesi zote dhidi ya cdm tz, na matukio yote ya utekaji. Ndiye msaidizi mkuu wa Mwigulu katika uongozi wa green guard...Bora huyu kuliko mrithi wake.... Kamanda Advocate Nyombi... Nimtahadharishe tu Nyombi kuwa akiingia hapo aachane kupambana na CDM, apambane na wahalifu... Wapo wa kutosha tu kumkeep bize...[/QUOTE
Mbona umestuka mapema nini?? Unamjua huyo Nyombi vizuri, ni aina ya Kamuhanda nini???
Acha hofu za kitoto unataka cdm wakifanya makosa wachekewe tu haiwezekani hata kidogo watapigwa tu.Bora Kamuhanda x10 kuliko Nyombi... Huyu ndiye injinia wa kesi zote dhidi ya cdm tz, na matukio yote ya utekaji. Ndiye msaidizi mkuu wa Mwigulu katika uongozi wa green guard...
Bora huyu kuliko mrithi wake.... Kamanda Advocate Nyombi... Nimtahadharishe tu Nyombi kuwa akiingia hapo aachane kupambana na CDM, apambane na wahalifu... Wapo wa kutosha tu kumkeep bize...
Sijui nae atakuwa na watoto wangapi wa nje ya ndoa?
No! nataka kuuze habari kama tulivyo uza habari za Mahita na yule mtoto aliyemkataaUnataka kumsaidia kuwasomesha ?!
kwa kweli some times huwa nakuona kama unafanya makusudi ili uone watu watacoment nini na kama sivyo basi wewe si mzima kiakili.BAK,
Sidhani kama umemaanisha ambacho umekiandika hapo!
Katika ma-IGP walio tenda kazi nzuri kwenye nyanja ya usalama wa raia na mali zao ni huyu IGP ndiye anae ibuka kidedea.
Huwezi kupima tu Tanzania ya leo katika mambo ya kiuhalifu na ile ya enzi za Mkapa na Mwinyi?
Leo hii ujambazi na unyang'anyi ni kama hadithi vile, matukio ya aina hii ni ya kutafuta na tochi, unadhani hali hii imetokana na nini?
Hayo matukio uliyo eleza ni kweli yametokea wakati wake, ila yakupaswa uelewe kuwa uhalifu unazidi kukua, huwezi kufananisha mbinu za uhalifu za mwaka 1947 na za leo, hivyo jitihada ni kubwa za kupambana na matukio ya aina hiyo ndio maana hutokea mara chache chache.
Propaganda ambazo hazina ukweli wowote ndio kazi zenu nyie. Kama huoni wala husikii jinsi jeshi la polisi lilivyopoteza heshima yake hata ashuke Mungu kukwambia hivyo huwezi kumuamini. Mie nimemaliza.
Kwanza hana tija yeyote kwa mstakabali wa usalama wa nchi. Badala yake analeta siasa jeshini na vurugu kwa kuegemea CCM. AONDOKE
Hakuna kitu kinachoniudhi kama hili dafu la msoga linavyopindisha sheria na kanuni kienyeji enyeji kwa kuwaongezea hawa watu muda wa utumishi bila misingi ya kueleweka. Alinza na Katibu mkuu kiongozi Bwana Luhanjo, akamuongezea VC wa UDSM, Mzumbe na UDOM, akaja Mwema na Kova na wengine labda siwajui. Hivi ni kweli hakuna watu wenye capacity za kuhandle hizi nafasi? Huu si uvunjanji wa sheria na taratibu za utumishi wa umma bila sababu?
Mfumo wa utawala unajengwa na katiba nguvu zote zikielekezwa huko kuandika mazuio ya unyanyasaji na makandamizo kwa kuwapa wananchi nguvu ya kutumia saini zao kuondoa kiongozi au mtumishi yoyote wa serikali hata angekuwa IGP kila mtu angejua mwajiri wake ni nani na angejipendekeza kwa wananchi lakini makatiba na masheria haya tunayojifunga wenyewe mikono na kuwakabidhi wachache watupelekeshe wanavyotaka ndio tatizo. Kwani huoni kipindi cha uchaguzi wanavyotetemeka? Hadi machinga anakuwa na thamaniMfumo gani? Sema mfumo wa chama tawala CCM. Kama mtawala hataki hayo, wote wataacha hayawezi kuwa na nafasi. Kama wanasema we piga tu hadharani unafikiri kwenye kumwagiana nakugonga mvinyo utokano na PAYE yako wanasemaje? ni Ua tu!
Propaganda ambazo hazina ukweli wowote ndio kazi zenu nyie. Kama huoni wala husikii jinsi jeshi la polisi lilivyopoteza heshima yake hata ashuke Mungu kukwambia hivyo huwezi kumuamini. Mie nimemaliza.