COURTESY JF-Expert Member Joined Jun 16, 2011 Posts 2,006 Reaction score 712 Nov 3, 2012 #21 chama cha majambazi.......
The Hunter JF-Expert Member Joined Dec 25, 2010 Posts 1,049 Reaction score 307 Nov 3, 2012 #22 Check huyo aliekalisha mbuda hapo kwenye kiti
YouTube JF-Expert Member Joined Jul 24, 2012 Posts 936 Reaction score 362 Nov 3, 2012 #23 Huo si ni muda wa kurelax na starehe , nyie watu msiwe so biased!
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,190 Reaction score 128,240 Nov 3, 2012 #24 Huyo jamaa hapo nyuma ni lusinde. Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
P PhD JF-Expert Member Joined Jul 15, 2009 Posts 4,835 Reaction score 4,240 Nov 4, 2012 #25 Mzee wa Rula said: Hapo mtu anauhakika kwa sababu keshachukua mlungula wake sasa kilichobaki ni kuserebuka tu. Click to expand... Wakati dunia ikiwa inasonga mbele, watanzania tunakunywa coke na kukata mauno
Mzee wa Rula said: Hapo mtu anauhakika kwa sababu keshachukua mlungula wake sasa kilichobaki ni kuserebuka tu. Click to expand... Wakati dunia ikiwa inasonga mbele, watanzania tunakunywa coke na kukata mauno
Crucial Man JF-Expert Member Joined Jan 11, 2011 Posts 3,404 Reaction score 1,312 Nov 4, 2012 #26 Ndio maana yule bwana alizidiwa kule igunga hahaha.
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,546 Nov 4, 2012 #27 wanapokatika hapo JOSEPH JOSEPHAT na MIGULO CHEMBA wameshajibebea wake za watu wako room.
Polisi JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 2,082 Reaction score 643 Nov 4, 2012 #28 Kiwera Mikaeli said: Click to expand... Nambari wani eeh nambari wani, nambari one ni ccm. Pwani TIENI TIENI TIENI TIENI uhuru umoja nambari wani nambari wani ni ccm
Kiwera Mikaeli said: Click to expand... Nambari wani eeh nambari wani, nambari one ni ccm. Pwani TIENI TIENI TIENI TIENI uhuru umoja nambari wani nambari wani ni ccm
Rosweeter JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 1,172 Reaction score 4,435 Nov 5, 2012 #29 Ciello said: Hahahahah umeua! Click to expand... Wanamkamua jipu
Inside10 JF-Expert Member Joined May 20, 2011 Posts 33,659 Reaction score 40,257 Nov 12, 2012 Thread starter #30 Na mkutano dodoma ukiisha lazima wakajimwayemwaye
KIMAROO JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 453 Reaction score 259 Nov 12, 2012 #31 huyo jamaa alobambia kafanana na yule mbunge mitusi cjui aitwa nani yule jamaa wa mtera mwenye kipaji cha taarabu
huyo jamaa alobambia kafanana na yule mbunge mitusi cjui aitwa nani yule jamaa wa mtera mwenye kipaji cha taarabu