Mwasisi wa CHASO, Deogratius Kisandu ajiunga na CCM

Mwasisi wa CHASO, Deogratius Kisandu ajiunga na CCM

Ni haki yake za kikatiba hakuna kosa alilofanya kama angeyasema hayo wakati yupo Chadema ingekuwa kesi ya uhani.
Ritz unaishi nchi gani? sababu ya huyo jamaa kufukuzwa kadima ni kwa sababu alitangaza nia ya kugombea urais. kwa bahati mbaya wakati anatangaza hakujua kuwa amegusa maslahi ya sultan na kigango chake.
 
Mwasisi wa CHASO ajiunga na CCM kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana tarehe 27 Septemba 2014 kwenye uwanja wa mikutano wa kijiji cha Lwandai kata ya Mlola,lushoto mkoani Tanga.

Deogratius Kisandu ambaye wakati wake alipokuwa Chadema alikuja na hoja za kutaka urais jambo ambalo Dk.Slaa lilimpa tabu sana amejiunga na CCM akitokea NCCR Mageuzi ambapo alikuwa na nyadhifa mbali mbali.
attachment.php

Aliona alobu lobu kwanza nccr ndo aende alikopanga.
Kumbe aliona aibu kwenda wakati ule !
 
Ritz unaishi nchi gani? sababu ya huyo jamaa kufukuzwa kadima ni kwa sababu alitangaza nia ya kugombea urais. kwa bahati mbaya wakati anatangaza hakujua kuwa amegusa maslahi ya sultan na kigango chake.

Alifukuzwa ln,
Mbona aliondoka mwenyewe?
 
Huyu ni kati ya wengi wanaoingia kwenye siasa kwa kutegemea neema badala ya kuwa na maono ya wapi unataka ipeleka jamii yako,juzi ulikuwa kwenye itikadi ya kiconservative,jana mliberali leo mjamaa njozi kesho utakuwa wapi? na ni nini unakisimamia wewe?kama si kuendeshwa na matamanio ya tumbo lako?
 
Ritz unaishi nchi gani? sababu ya huyo jamaa kufukuzwa kadima ni kwa sababu alitangaza nia ya kugombea urais. kwa bahati mbaya wakati anatangaza hakujua kuwa amegusa maslahi ya sultan na kigango chake.

..huyo dogo hajatulia.

..yani kahama CDM, kaenda NCCR, na sasa tayari yuko CCM.
 
Ukisia wachumia tumbo wa kwenye siasa ndo huyo mmoja wao! Ndani ya mwaka mmoja vyama vi3, sijui kesho atajiunga na chama gani!
 
Badala ya kufanya kazi kama vijana wengine na kulipa kodi..yeye anahams vyama vya siasa tu
 
Kisandu ndio alisababisha Chadema ipendwe na vijana hasa vijana wa chuo.. Toka Kisandu ameondoka Chadema vijana hasa wa chuo nao wameikimbia chadema.
 
Hivi hawa "waalimu" wa kizazi kipya mbona ni full vituko? Tena wanapojiingiza kwenye siasa. Hebu oneni baadhi ya "walimu" kama hawa; Mwampamba , Ludovick na huyu Kisandu.
Lakini pamoja na vituko vyao vyote huwa wanaishia CCM kama ilivyo kwa vichaa wote kuwa wakizidiwa mwishowe wanaishi Mirembe hospital. Jee CCM ndio "hospitali" ya rufaa ya hawa " waalimu" wa ajabu?

Bila kumsahau mwl.KAIJAGE wa ACT kigoma!
 
attachment.php


Hueleweki! uraisi wa huyu popo ungempaje tabu Dr. slaa?

Malaya wa kisiasa huyu, mara Chadema, mara NCCR na sasa CCM. Wataalamu wa maisha ya kiroho kutoka taifa la warumi ambako mashirika mengi ya kidini yalianzishwa kama wafransisko na wabenediktini walisema: "kubadilibadili mara kwa mara huharibu tabia."

Hilo linajulikana ukitaka kupata mafanikio unatakiwa kuwa stable katika kupanga, kufuatilia, kutenda na kupima maendelea. Ukiwa wa kuhamahama lini utasetirika? Siasa nazo zinahitaji usetirivu si kubadilibalidi mara kwa mara kunaonyesha mtu kukosa ukomavu na msimamo katika maisha.
 
Mwasisi wa CHASO ajiunga na CCM kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jana tarehe 27 Septemba 2014 kwenye uwanja wa mikutano wa kijiji cha Lwandai kata ya Mlola,lushoto mkoani Tanga.

Deogratius Kisandu ambaye wakati wake alipokuwa Chadema alikuja na hoja za kutaka urais jambo ambalo Dk.Slaa lilimpa tabu sana amejiunga na CCM akitokea NCCR Mageuzi ambapo alikuwa na nyadhifa mbali mbali.
attachment.php

Ni punguani tu au mtu mchumia tumbo ndie atakae consider habar za kisandu.....he is nothing but a looser!
 
Ni punguani tu au mtu mchumia tumbo ndie atakae consider habar za kisandu.....he is nothing but a looser!

Hangaika ya miaka yote kwenye kila chama amefaidika na nini zaidi ya kupigwa dana dana kwa kuonekana mtu wa tamaa? Huko ccm kuna wenye mitaji ya miaka mingi na ndiko ndoto zake zitazikwa.
 
Huyu ni kati ya wengi wanaoingia kwenye siasa kwa kutegemea neema badala ya kuwa na maono ya wapi unataka ipeleka jamii yako,juzi ulikuwa kwenye itikadi ya kiconservative,jana mliberali leo mjamaa njozi kesho utakuwa wapi? na ni nini unakisimamia wewe?kama si kuendeshwa na matamanio ya tumbo lako?

hivi slaa anafata mfumo gani maana alienda upinzani baada kukoseshwa kugombea ubunge
 
Back
Top Bottom