PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,458
Kama matarajio ya wengi yalivyo kuwa,yule mwalimu kanjanja wa mkoani tanga amejiunga rasmi na ccm na kupokelewa kwa heshima kubwa na nd.kinana huku akitangaza rasmi kugombea uraisi kupitia chama makini cha ccm.
Ombilangu kwa wana ccm wote nikuwa tumpokee kwa mikono miwili na tumpe ushirikiano jemedari na mwl.deo kasandu.
kwakweli sijui chadema waliwezaje kuishi nae, nawapa pongezi sana
Ombilangu kwa wana ccm wote nikuwa tumpokee kwa mikono miwili na tumpe ushirikiano jemedari na mwl.deo kasandu.
kwakweli sijui chadema waliwezaje kuishi nae, nawapa pongezi sana