Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
Mapema sana tulimshauri ajiunge na ccm akawa hatuelewi, tulimshauri hivyo kwasababu tangu mwanzo alionyesha tabia mienendo ya ccm, pls Nape Nnauye mpelekeni huyu kisandu kwenye matibabu ya majeraha aliyokua akilalamika enzi yupo nccr la siivyo atahamia ACT huyu
Last edited by a moderator: