Muarobaini
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 215
- 73
CHADEMA kwani ya leo? itaendelea kugaragazwa tu miaka nenda rudi na hasa huyu kidato cha nne asipoondolewa pale juu na kumuweka msomi.
Aisee mpini wa huyu kidato cha nne umewatia wazimu kweli yaani hapo tu kidato cha nne je akiongeza si mtakuwa kama mnatolewa mapepo,