Mwarobaini wa CCM hatimaye umepatikana

Mwarobaini wa CCM hatimaye umepatikana

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,715
Reaction score
59,249
Chadema ndio mwarobaini wa CCM.

Ccm walijua wataiangamiza chadema kwa mbinu walizorumia kwa nccr na Cuf lakini imeshindikana. Tangu vyama vingi vianze ccm walikua hawajapata chama cha kuwavuruga akili kama chadema. Wamejaribu kutumia mbinu zao zote kukiangamiza chadema wameshindwa. Sasa hivi wanasubiri kudra za Mwenyezi Mungu kwa kila Uchaguzi.

Yanayo tokea Bungeni na nje ya bunge ni matokeo ya kuchanganyikiwa kwa ccm sababu hawajui nini wafanye. Hii katiba mpya wanaona ndo inawamaliza kabisaaaa....!!! Yaani sasa hivi wanamlaumu Rais kwanini alikubali mchakato wa katiba mpya wakati hakuwa katika ahadi za ccm.

Sasa hivi kila mtu anajitahidi kula ofisini kwake kwani wanajua fika 2015 ndo mwisho wa ccm. Chadema ingekua kama vyama vingine vya upinzani hakika Tanzania ingekua taabani zaidi ya hapa.

Namuomba Mungu azidi kuilinda na kuibariki Chadema na Viongozi wake ili haki iendelee kuwepo. Mia
 
...na bado tutapiga mpaka wachanganyikiwe, wakiziba huku tunapiga huku,teh tehehee . tunapiga bungeni, tunapiga mtaani, tunashinda mahakamani tunapiga mpaka ikulu, wakirogwa waweke fair ground tu wamekwishaaaa...! chezeya m4c...?
 
Chadema ndio mwarobaini wa ccm.
Ccm walijua wataiangamiza chadema kwa mbinu walizorumia kwa nccr na Cuf lakini imeshindikana.
Tangu vyama vingi vianze ccm walikua hawajapata chama cha kuwavuruga akili kama chadema.
Wamejaribu kutumia mbinu zao zote kukiangamiza chadema wameshindwa. Sasa hivi wanasubiri kudra za Mwenyezi Mungu kwa kila Uchaguzi.
Yanayo tokea Bungeni na nje ya bunge ni matokeo ya kuchanganyikiwa kwa ccm sababu hawajui nini wafanye.
Hii katiba mpya wanaona ndo inawamaliza kabisaaaa....!!! Yaani sasa hivi wanamlaumu Rais kwanini alikubali mchakato wa katiba mpya wakati hakuwa katika ahadi za ccm.
Sasa hivi kila mtu anajitahidi kula ofisini kwake kwani wanajua fika 2015 ndo mwisho wa ccm.
Chadema ingekua kama vyama vingine vya upinzani hakika Tanzania ingekua taabani zaidi ya hapa.
Namuomba Mungu azidi kuilinda na kuibariki Chadema na Viongozi wake ili haki iendelee kuwepo. Mia

Watu tuna mitazamo tofauti kweli, wakati Watanzania wengi wanaamini Katiba mpya ndiyo ilikuwa karata ya mwisho kwa CHADEMA , kumbe bado wanaojifariji kuwa CHADEMA wana nguvu? kazi kweli kweli.
 
...na bado tutapiga mpaka wachanganyikiwe, wakiziba huku tunapiga huku,teh tehehee . tunapiga bungeni, tunapiga mtaani, tunashinda mahakamani tunapiga mpaka ikulu, wakirogwa waweke fair ground tu wamekwishaaaa...! chezeya m4c...?

Nyie hangaikeni, 2015, ndo mtawajuwa CCM ni akina nani, si mnahangaika na M4c, Mara kunadi Katiba wao kimya, na uzuri CCM bwana wafuasi wao hawana papara kabisa siku wakianza kuwanyeshea mnaanza kumtafuta mchawi.
 
Chadema ndio mwarobaini wa ccm.
Ccm walijua wataiangamiza chadema kwa mbinu walizorumia kwa nccr na Cuf lakini imeshindikana.
Tangu vyama vingi vianze ccm walikua hawajapata chama cha kuwavuruga akili kama chadema.
Wamejaribu kutumia mbinu zao zote kukiangamiza chadema wameshindwa. Sasa hivi wanasubiri kudra za Mwenyezi Mungu kwa kila Uchaguzi.
Yanayo tokea Bungeni na nje ya bunge ni matokeo ya kuchanganyikiwa kwa ccm sababu hawajui nini wafanye.
Hii katiba mpya wanaona ndo inawamaliza kabisaaaa....!!! Yaani sasa hivi wanamlaumu Rais kwanini alikubali mchakato wa katiba mpya wakati hakuwa katika ahadi za ccm.
Sasa hivi kila mtu anajitahidi kula ofisini kwake kwani wanajua fika 2015 ndo mwisho wa ccm.
Chadema ingekua kama vyama vingine vya upinzani hakika Tanzania ingekua taabani zaidi ya hapa.
Namuomba Mungu azidi kuilinda na kuibariki Chadema na Viongozi wake ili haki iendelee kuwepo. Mia

CHADEMA kwani ya leo? itaendelea kugaragazwa tu miaka nenda rudi na hasa huyu kidato cha nne asipoondolewa pale juu na kumuweka msomi.
 
"Mbona Slaa na Mbowe hawafungwi?" Mwigulu akichangia moja ya muswada bungeni.
 
Chadema ndio mwarobaini wa ccm.
Ccm walijua wataiangamiza chadema kwa mbinu walizorumia kwa nccr na Cuf lakini imeshindikana.
Tangu vyama vingi vianze ccm walikua hawajapata chama cha kuwavuruga akili kama chadema.
Wamejaribu kutumia mbinu zao zote kukiangamiza chadema wameshindwa. Sasa hivi wanasubiri kudra za Mwenyezi Mungu kwa kila Uchaguzi.
Yanayo tokea Bungeni na nje ya bunge ni matokeo ya kuchanganyikiwa kwa ccm sababu hawajui nini wafanye.
Hii katiba mpya wanaona ndo inawamaliza kabisaaaa....!!! Yaani sasa hivi wanamlaumu Rais kwanini alikubali mchakato wa katiba mpya wakati hakuwa katika ahadi za ccm.
Sasa hivi kila mtu anajitahidi kula ofisini kwake kwani wanajua fika 2015 ndo mwisho wa ccm.
Chadema ingekua kama vyama vingine vya upinzani hakika Tanzania ingekua taabani zaidi ya hapa.
Namuomba Mungu azidi kuilinda na kuibariki Chadema na Viongozi wake ili haki iendelee kuwepo. Mia

Hapo kwenye nyekundu ndiko penyewe, ndio maana wimbi la kukamatwa wauza unga toka Tanzania linautikisa ulimwengu sasa hivi,pia ufisadi (syphoning) uko katika kasi ya juu sasa hivi ni wazi kabisa miradi mingi haitatekelezwa katika kipindi hiki cha mpito kuelekea uchaguzi kwa kutumia katiba mpya kwani hela zake zitaibiwa , pia ahadi zaidi ya nusu zilizotolewa uchaguzi uliopita hazitatekelezwa kwa sababu hela zake zitaibiwa.
Turufu pekee CCM iliyobaki nayo ni kuchelewesha kuboresha daftari la wapiga kura kwa sababu wanajua wazi kabisa CDM ina mamillioni ya kura toka kwa vijana ambao hawajajiandikisha, wakiboresha daftari basi CCM kwisha habari yake. Mtu kama Ndugai amekata tamaa kabisa kwa sababu hawezi kukalia kiti tena cha Uspika au unaibu wake kwani katiba mpya imemnyonga anayofanya bungeni sasa hivi ni syndrome ya hali hiyo.
 
Chadema ndio mwarobaini wa ccm.
Ccm walijua wataiangamiza chadema kwa mbinu walizorumia kwa nccr na Cuf lakini imeshindikana.
Tangu vyama vingi vianze ccm walikua hawajapata chama cha kuwavuruga akili kama chadema.
Wamejaribu kutumia mbinu zao zote kukiangamiza chadema wameshindwa. Sasa hivi wanasubiri kudra za Mwenyezi Mungu kwa kila Uchaguzi.
Yanayo tokea Bungeni na nje ya bunge ni matokeo ya kuchanganyikiwa kwa ccm sababu hawajui nini wafanye.
Hii katiba mpya wanaona ndo inawamaliza kabisaaaa....!!! Yaani sasa hivi wanamlaumu Rais kwanini alikubali mchakato wa katiba mpya wakati hakuwa katika ahadi za ccm.
Sasa hivi kila mtu anajitahidi kula ofisini kwake kwani wanajua fika 2015 ndo mwisho wa ccm.
Chadema ingekua kama vyama vingine vya upinzani hakika Tanzania ingekua taabani zaidi ya hapa.
Namuomba Mungu azidi kuilinda na kuibariki Chadema na Viongozi wake ili haki iendelee kuwepo. Mia

watu wenye upeo mdogo kama wangekuwa wanaota manyoya wewe ungeota manyoya siku nyingi.
 
Umeona eee wache wajimalize tuu
Nyie hangaikeni, 2015, ndo mtawajuwa CCM ni akina nani, si mnahangaika na M4c, Mara kunadi Katiba wao kimya, na uzuri CCM bwana wafuasi wao hawana papara kabisa siku wakianza kuwanyeshea mnaanza kumtafuta mchawi.
 
chadema ni sawa na mgonjwa ambaye ugonjwa wake unapanda na kushuka na ndivyo kilivyo chadema.
 
Watu tuna mitazamo tofauti kweli, wakati Watanzania wengi wanaamini Katiba mpya ndiyo ilikuwa karata ya mwisho kwa CHADEMA , kumbe bado wanaojifariji kuwa CHADEMA wana nguvu? kazi kweli kweli.

Mkuu, hizi ndo akili za bavicha. usishangae sana
 
Nyie hangaikeni, 2015, ndo mtawajuwa CCM ni akina nani, si mnahangaika na M4c, Mara kunadi Katiba wao kimya, na uzuri CCM bwana wafuasi wao hawana papara kabisa siku wakianza kuwanyeshea mnaanza kumtafuta mchawi.

...mkuu unaongea kama mnajiamiiiiini, ingekuwa hivo acheni kutumia mbinu shirikishi basi wakati wa uchaguzi. wekeni fair ground muone moto wetu,acheni kutumia tiss, polisi, wanajeshi na mbaya zaidi rushwa na wakurugenzi wa halmashauri,bila kuimsahau kiungo wenu mkuu tume ya uchaguzi...
 
chadema ni sawa na mgonjwa ambaye ugonjwa wake unapanda na kushuka na ndivyo kilivyo chadema.

Duh mkuu, unanikumbusha stail ya kuongea ya Tundu Lissu. huwa anapandaaweee anashukaaa. anaendana na kale kaugonjwa kake ka mwandamo wa mwezi
 
...mkuu unaongea kama mnajiamiiiiini, ingekuwa hivo acheni kutumia mbinu shirikishi basi wakati wa uchaguzi. wekeni fair ground muone moto wetu,acheni kutumia tiss, polisi, wanajeshi na mbaya zaidi rushwa na wakurugenzi wa halmashauri,bila kuimsahau kiungo wenu mkuu tume ya uchaguzi...

Mkuu, hivyo ni vyombo vya dola na vina haki ya kuilinda serikali ya ccm. hata mngekuwa nyie mngevitumia
 
Nyie hangaikeni, 2015, ndo mtawajuwa CCM ni akina nani, si mnahangaika na M4c, Mara kunadi Katiba wao kimya, na uzuri CCM bwana wafuasi wao hawana papara kabisa siku wakianza kuwanyeshea mnaanza kumtafuta mchawi.
kweli mmechanganyikiwa maana siku zote mlisema ni chama cha mijini na sasa unasahau kuwa kuna uchaguzi wa serikali za mitaa hapa katikati lakini unaangalia 2015 tu, kuna pigo lingine kabla ya huko. Mfano mdogo ni nguvu na pesa walivyotumia Arusha lakini ikawalazimu kutimua mbio usiku wa manane.
 
Back
Top Bottom