Mwarabu wa Loliondo amefunga BTS pale Loliondo ambayo ina Sattelite Link to Kwao Huko (Kwenye Network ya Kwao)
Watu wakipita yale Maeneo, simu zao zina detect kuwa pale kuna Best signal so zina Trigger Roaming.
" Ni kama Vile unapotua Armsterdam na Kuwasha Simu yako"
Thats Why watu wanapata zile Announecement za "Welcome to UAE..."
QUESTIONS..
Huyu Mwarabu BTS yake ina Transimit kwa Frequency zipi????
TCRA, nani amempa huyu Mwarabu Hizo Rights???
Nani amempa huyu Mwarabu Frequency na Kufanya huu upuuzi Tanzania
Je ana Licence za Kufunga hiyo BTS???
Je wa Tanzania wanapo Roam kwenye coveregae ya ile BTS, si wanakuwa charged Katika Roaming Rates???
Roaming rates si ziko Juu!!!!!, hamuoni kuwa watu wa wanapo roam na Kufanya Transaction e.g calling wanakuwa wanaingia extra cost za Roaming wakiwa Nchini mwao???
Au TCRA hawalijui Hili au wanalijua na Wanajua kuwa Wa Tanzania Hawajui lolote katika hili so ni Style ya Funika Kombe!!!!!!
cc Pasco , John Mnyika , Zitto , Mfikishie Huu Ujumbe Rafiki Yako Makamba
KEY
BTS: Base Transiver Station === Radio ambazo zina uwezo wa Ku tuma na Kupokea Mawasilianao kati ya Simu na Mnara (Ziko kwenye Mnara wa Simu)
Tusi shikwe na jazba. Mbona tunamuonea huyu mwarabi, kafanya dhambi gani. Kwa kweli hizi ni siasa mbovu, ilimradi tupate sababu ya kuisakama ccm na serekali. mbona hatuwasakami wazungu wanapo pewa maeneo. kwa mfano mbona wale Wa Australia walio ibobea mlima wa kabulo pale kiwira, mpaka kuusababisha ule mradi wa kiwira kuwa hauna faida tena hatuwazungumzii.
Mradi kanyimwa Nssf ambao walikuwa tayari kuuchukuwa na mbia kutoka nje na waka Ahidi kuekeza mradi wa umeme wa 300mw. nssf ilitoa ahadi ya kulipia madeni ya serekali ya USA$30millions. Lakini Mzungu kachukua nusu ya mradi wenye makaa mengi kwa dollar 3 million. hiyo hatuioni na haisemwi. Mwarabu kafanya mengi loliondo anasumbuliwa. Au ni kwa sababu agenda ya kiwira ililetwa bungeni na Zitto kwa hivyo hapa jukwani jambo lake haliungwi mkono. Mbunge wa ileje kwanza alilisimamia jambo hili, nasikia sasa amekuwa mshauri mkubwa wa hao majangili wa kizungu.
Mkuu.
Kama huelewi Content ya Hii Thread ni Bora ukakaa Kimya.
Thread ime pose a Challenge to TCRA based on Facts nilizo Mention na Sio kwa Mwarabu
Kama hujui ni Bora ukaomba Kuelimishwa, Vitu nilivyoleta ni very Basics kueleweka.
Uliza Mkuu, sio Ujinga, Acha Ulofa
Tusi shikwe na jazba. Mbona tunamuonea huyu mwarabi, kafanya dhambi gani. Kwa kweli hizi ni siasa mbovu, ilimradi tupate sababu ya kuisakama ccm na serekali. mbona hatuwasakami wazungu wanapo pewa maeneo. kwa mfano mbona wale Wa Australia walio ibobea mlima wa kabulo pale kiwira, mpaka kuusababisha ule mradi wa kiwira kuwa hauna faida tena hatuwazungumzii.
Mradi kanyimwa Nssf ambao walikuwa tayari kuuchukuwa na mbia kutoka nje na waka Ahidi kuekeza mradi wa umeme wa 300mw. nssf ilitoa ahadi ya kulipia madeni ya serekali ya USA$30millions. Lakini Mzungu kachukua nusu ya mradi wenye makaa mengi kwa dollar 3 million. hiyo hatuioni na haisemwi. Mwarabu kafanya mengi loliondo anasumbuliwa. Au ni kwa sababu agenda ya kiwira ililetwa bungeni na Zitto kwa hivyo hapa jukwani jambo lake haliungwi mkono. Mbunge wa ileje kwanza alilisimamia jambo hili, nasikia sasa amekuwa mshauri mkubwa wa hao majangili wa kizungu.
You are really an experienced concubine of CCM! We are talking National issue here, not partisan.
Mwarabu wa Loliondo amefunga BTS pale Loliondo ambayo ina Sattelite Link to Kwao Huko (Kwenye Network ya Kwao)
Watu wakipita yale Maeneo, simu zao zina detect kuwa pale kuna Best signal so zina Trigger Roaming.
" Ni kama Vile unapotua Armsterdam na Kuwasha Simu yako"
Thats Why watu wanapata zile Announecement za "Welcome to UAE..."
QUESTIONS..
Huyu Mwarabu BTS yake ina Transimit kwa Frequency zipi????
TCRA, nani amempa huyu Mwarabu Hizo Rights???
Nani amempa huyu Mwarabu Frequency na Kufanya huu upuuzi Tanzania
Je ana Licence za Kufunga hiyo BTS???
Je wa Tanzania wanapo Roam kwenye coveregae ya ile BTS, si wanakuwa charged Katika Roaming Rates???
Roaming rates si ziko Juu!!!!!, hamuoni kuwa watu wa wanapo roam na Kufanya Transaction e.g calling wanakuwa wanaingia extra cost za Roaming wakiwa Nchini mwao???
Au TCRA hawalijui Hili au wanalijua na Wanajua kuwa Wa Tanzania Hawajui lolote katika hili so ni Style ya Funika Kombe!!!!!!
cc Pasco , John Mnyika , Zitto , Mfikishie Huu Ujumbe Rafiki Yako Makamba
KEY
BTS: Base Transiver Station === Radio ambazo zina uwezo wa Ku tuma na Kupokea Mawasilianao kati ya Simu na Mnara (Ziko kwenye Mnara wa Simu)
Mwarabu wa Loliondo amefunga BTS pale Loliondo ambayo ina Sattelite Link to Kwao Huko (Kwenye Network ya Kwao)
Watu wakipita yale Maeneo, simu zao zina detect kuwa pale kuna Best signal so zina Trigger Roaming.
" Ni kama Vile unapotua Armsterdam na Kuwasha Simu yako"
Thats Why watu wanapata zile Announecement za "Welcome to UAE..."
QUESTIONS..
Huyu Mwarabu BTS yake ina Transimit kwa Frequency zipi????
TCRA, nani amempa huyu Mwarabu Hizo Rights???
Nani amempa huyu Mwarabu Frequency na Kufanya huu upuuzi Tanzania
Je ana Licence za Kufunga hiyo BTS???
Je wa Tanzania wanapo Roam kwenye coveregae ya ile BTS, si wanakuwa charged Katika Roaming Rates???
Roaming rates si ziko Juu!!!!!, hamuoni kuwa watu wa wanapo roam na Kufanya Transaction e.g calling wanakuwa wanaingia extra cost za Roaming wakiwa Nchini mwao???
Au TCRA hawalijui Hili au wanalijua na Wanajua kuwa Wa Tanzania Hawajui lolote katika hili so ni Style ya Funika Kombe!!!!!!
cc Pasco , John Mnyika , Zitto , Mfikishie Huu Ujumbe Rafiki Yako Makamba
KEY
BTS: Base Transiver Station === Radio ambazo zina uwezo wa Ku tuma na Kupokea Mawasilianao kati ya Simu na Mnara (Ziko kwenye Mnara wa Simu)
mkuu,
watu wanakurupuka tu humu...hawasomi na kuelewa,jamaa kaleta mambo meeeengi,aanzishe thread yake ya hayo mambo anayosema kuwa hayajadiliwi...anategea watu wamuanzishie uzi...TCRA hawana habari na hayo mambo wao wanakuja na matamko tu ooh ku-expose namba na mawasiliano ya watu ni kosa la kisheria ila watu wanafunga BTS bila shaka...its like mtu unakuwa forced to do roaming ukiwa UAE akati uko bongo teh teh....