cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,552
- 5,447
Nashukuru we bibi umeongeza adui mwengine..huyu Jamaa ni ninja anapiga combat killer Zote. Ngoja akukamate...AF we bibi nakuwazaga kama betina hvUkubwa wa pua siyo wingi wa makamasi. Hill jitu kuwa tu lakini halina zaidi ya huo ukubwa wa mwili, na unaonesha wazi ni mwili wa kula sana na ma steroids.
The lean and mean are the most effective.