jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Anamuweza Scorpion wa Buguruni?Jamaa kuna uzi ulianzishwa hapa tukaona mavitu yake kwenye mkono, sasa nataka nifanye testing naye kama kujichangamsha tu ..blackbelt 2dan Vs mwarabu
Le- mutuz ana Black Belt na Kichwani yupo Smart?????????????Kiukweli hii kazi alitakiwa kupewa lemutuz sababu ana vigezo vyote.
Body analo,ana black belt na yuko smart upstairs.
sana mkuuHalafu anakula bata sana masafari safari mambelez you know.
Boss Sikushikii bundukiLe- mutuz ana Black Belt na Kichwani yupo Smart?????????????
Ukubwa wa pua siyo wingi wa makamasi. Hill jitu kuwa tu lakini halina zaidi ya huo ukubwa wa mwili, na unaonesha wazi ni mwili wa kula sana na ma steroids.
The lean and mean are the most effective.
Ukubwa wa pua siyo wingi wa makamasi. Hill jitu kuwa tu lakini halina zaidi ya huo ukubwa wa mwili, na unaonesha wazi ni mwili wa kula sana na ma steroids.
The lean and mean are the most effective.
Huyu si alikua bounce wa chiddybenz akabakwaKuna mwenzake naye alikuwa anajiita NGUMI JIWE sijui kapotelea wapi.