donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,519
Siku nitajaribu kumzaba kibao mond nione vitasa vya mwarabu fighter kama nitazimia nitokee madale
Maybe in martial artsIs he armed?
Yes mkuuYuko njema na inaonesha anaipenda kazi yake
Mkuu una dan mbili?Jamaa kuna uzi ulianzishwa hapa tukaona mavitu yake kwenye mkono, sasa nataka nifanye testing naye kama kujichangamsha tu ..blackbelt 2dan Vs mwarabu
Mmmmmmhhmalafu hawa watu lazima wawe weusi
Maybe in martial arts
Yuko njema na inaonesha anaipenda kazi yake