Mwanzo wa meditation

Mkuu toka nianzee kupitia blog yako nimejifunza mengi ila hapa juz kat nimepta sehem nimekutana na article moja inaitwa inner power awakening kuna hii kitu inaitwa KUNDALINI sikuelewa vizuri, kama hutojal utufafanulie vizuri mkuu.
Habari mkuu,
Kundalini
Hii ni mawasiliano baina ya jicho la tatu na ground chakra au root chakra inaaminika kuwa chakra hii ndio kipenyo cha kutoa na kuchukua maisha na kuhimili vishindo vya maisha mtu ambaye hayupo vizuri chakra hii mara nyingi huwa ni rahisi kwake kufanya mambo yanayomuhatarisha mwenyewe au yatakayo mgharimu kama vile kujiua hasira za kuharibu vitu n.k na hii chakra pia ndio rahisi zaidi kumfanya mtu ajihisi mungu mtu kutokana na nguvu yake, sasa kundalini ni kuzungumza na utawala uliouaminisha wewe na roho yake wengi huhisi kuwa hapo uwezo wake wa kuwa genius ndio upo hapo maana swali lolote ukiuliza akili yako kwa kundalin basi linajibika kwa ufasaha na uhuru, hii nakupa maelezo rahisi ili uelewe lakini deep ni zaidi na hutaelewa hadi ujue nguvu yake,

Rakims
 
Habari mkuu,
Kundalini
Hii ni mawasiliano baina ya jicho la tatu na ground chakra au root chakra inaaminika kuwa chakra hii ndio kipenyo cha kutoa na kuchukua maisha na kuhimili vishindo vya maisha mtu ambaye hayupo vizuri chakra hii mara nyingi huwa ni rahisi kwake kufanya mambo yanayomuhatarisha mwenyewe au yatakayo mgharimu kama vile kujiua hasira za kuharibu vitu n.k na hii chakra pia ndio rahisi zaidi kumfanya mtu ajihisi mungu mtu kutokana na nguvu yake, sasa kundalini ni kuzungumza na utawala uliouaminisha wewe na roho yake wengi huhisi kuwa hapo uwezo wake wa kuwa genius ndio upo hapo maana swali lolote ukiuliza akili yako kwa kundalin basi linajibika kwa ufasaha na uhuru, hii nakupa maelezo rahisi ili uelewe lakini deep ni zaidi na hutaelewa hadi ujue nguvu yake,

Rakims
Blog yako inaitwajw mkuu? Mbona tupo gizani?
 
Habari mkuu,
Kundalini
Hii ni mawasiliano baina ya jicho la tatu na ground chakra au root chakra inaaminika kuwa chakra hii ndio kipenyo cha kutoa na kuchukua maisha na kuhimili vishindo vya maisha mtu ambaye hayupo vizuri chakra hii mara nyingi huwa ni rahisi kwake kufanya mambo yanayomuhatarisha mwenyewe au yatakayo mgharimu kama vile kujiua hasira za kuharibu vitu n.k na hii chakra pia ndio rahisi zaidi kumfanya mtu ajihisi mungu mtu kutokana na nguvu yake, sasa kundalini ni kuzungumza na utawala uliouaminisha wewe na roho yake wengi huhisi kuwa hapo uwezo wake wa kuwa genius ndio upo hapo maana swali lolote ukiuliza akili yako kwa kundalin basi linajibika kwa ufasaha na uhuru, hii nakupa maelezo rahisi ili uelewe lakini deep ni zaidi na hutaelewa hadi ujue nguvu yake,

Rakims
Blog yako inaitwajw mkuu? Mbona tupo gizani?
 
Habari mkuu,
Kundalini
Hii ni mawasiliano baina ya jicho la tatu na ground chakra au root chakra inaaminika kuwa chakra hii ndio kipenyo cha kutoa na kuchukua maisha na kuhimili vishindo vya maisha mtu ambaye hayupo vizuri chakra hii mara nyingi huwa ni rahisi kwake kufanya mambo yanayomuhatarisha mwenyewe au yatakayo mgharimu kama vile kujiua hasira za kuharibu vitu n.k na hii chakra pia ndio rahisi zaidi kumfanya mtu ajihisi mungu mtu kutokana na nguvu yake, sasa kundalini ni kuzungumza na utawala uliouaminisha wewe na roho yake wengi huhisi kuwa hapo uwezo wake wa kuwa genius ndio upo hapo maana swali lolote ukiuliza akili yako kwa kundalin basi linajibika kwa ufasaha na uhuru, hii nakupa maelezo rahisi ili uelewe lakini deep ni zaidi na hutaelewa hadi ujue nguvu yake,

Rakims
Duhh nina mambo mengi sana ya kujifunza na muda hautoshi
 
JINSI YA KUFANYA MEDITATION

Meditation Ya Pumzi:
View attachment 420128
MEDITATION:

Ni ile hali wakati mawazo yanapokuwa yameyeyushwa na kufikia mahali ambapo hakuna fikra yenye kuingia tena.
¡¤ Wengine wanaielezea tahajudi kwamba, ni sala za usiku wa manane.

FAIDA ZA MEDITATION:

1. Husaidia kuratibu msukumo wa damu pamoja na usafirishwaji wa damu mwilini.
2. Husaidia pumzi pamoja na kurahisisha usagwaji wa chakula mwilini.
3. Husaidia kuimarisha mfumo wa kinga mwilini.
4. Husaidia kuleta furaha ya nafsi.
5. Husaidia kuimarisha nguvu yako ya machale pamoja na nguvu zako za ziada.
6. Husaidia kutibu matatizo mengi ya kisaikolojia kwani hubadili hali ya mfumo wa fahamu na mawazo (endapo itafanywa kila siku).
7.meditation pia inaweza kutumika kuomba kitu unachohitaji,kama vile kazi au mahitaji mbalimbali,
8: Sala ni pale unapoongea na mungu lakini meditation ni pale unapomsikiliza mungu unaemuamini
9: Meditation Hukufanya ujielewe Zaidi,Uwe zaidi Uwe Zaidi ya wewe ulivyo
10: Kama unaswali halijibiki jibu lake utalipata kweny meditation

Hatua:
Kinachotakiwa wakati unajiandaa
Kufanya meditation ni kama ifuatavyo:

1. Tafuta sehemu iliyotulia, isiyo na makelele. Kaa kwenye kiti au chini, au lala kitandani. Hakikisha huumii mahali popote. Legeza mwili wako pamoja na misuli yote ya mwili wako kwa kadri utakavyoweza.
View attachment 420129
View attachment 420130
View attachment 420131
2. Sahau matatizo yako yaliyopita, yaliyopo na yajayo. Sahau matatizo yako ya kazini au nyumbani. Jitahidi usifikirie chochote.
3. Ni muhimu sana kujali hisia zako wakati unafanya meditation.
4. Pumua kwa kuingiza pumzi ya kutosha mapafuni, halafu toa pumzi yote na kufanya kifua kiwe kama kitupu. Weka mawazo yako yote kwenye pumzi zako
View attachment 420134
Hizo Ndio hatua za kwanza kabisa za kufanya meditation ya pumzi

5:utakapo endelea kuweka fikra zako kwenye pumzi yako utaona kitu kama rangi rangi zinaanza kutokea kwenye eneo la katikati ya nyusi zako mbili za macho yaani pale ulipofumba macho kwa ndani utaona kama rangi rangi zinaanza kujiform usizitilie sana maanani rangi hizo ziache zije zenyewe
View attachment 420169
6: rangi hizo zitaform vitu kama picha wakati huo eneo lako la kati ya nyusi litaanza kuwa awaken yaani kuamka huku hilo eneo litaamka kwa staili moja kati ya mbili
Kuwasha mwanga mweupe eneo hilo au kutetemeka kama utosi wa mtoto mdogo
View attachment 420171
7: hizo picha zitakazo kuwa zinajiform ukiendelea kuziangalia utaona ni matendo na matukio mengi uliokua ukiyafanya mwenyewe katika maisha yako sasa hapo kuna mawili ukiweza kuwa deep na hayo utakumbuka hadi utoto wako ulivyokuwa lakini ukiyapotezea utaendelea na kuweka fahamu zako kwenye pumzi itakupeleka hatua ya pili ya kuona spirits au viumbe visivyoonekana kama malaika na majini ulionao mwenyewe hawa wanaweza kukuskiliza kwa chochote utakacho waomba

8: ukiendelea kuwatizama basi utafanya mawasiliano nao ila ukiweka maanani kwenye pumzi utahama hatua nyingine ambayo ni deep zaidi na ndio zawadi ya meditation utaona kitu kama nuru inapitia katikati ya utosi wako na kujaa mwilini mwako kadri inavyojaa ndio unavyozidi kupata nguvu mwilini waweza kuishia hapo au ukitaka makubwa zaidi endelea na pumzi

9: utakavyoendelea na pumzi utaona ile power imekujaa kisha utaanza kuona kama sehemu unaanza kwenda deep zaidi ndani zaidi hapa ndio utaanza kuhisi uwepo wa mungu wa imani yako,

Kama ni muislam utaanza kuskia Qur-an inasomwa au utaanza kuona kitu kinachokupa imani zaidi kama mskiti wa makka maandishi ya Qur-an, Sauti za mawaidha n.k wengine waliojaaliwa huiona Baitil Maamur (Mskiti wa mbinguni) kwa vile atakavyooneshwa na mungu wake na itakusaidia kuweka mizizi ya imani katika dini yako,

kama ni mkristo hapa huhisi uwepo wa mungu wa imani yako na nguvu ya yesu au jesus na pia mambo mengine kama maneno ya biblia n.k wengine huona hata roho takatifu inawashukia n.k,

kama ni mpagani na dini zingine na huna imani basi atakae jitokeza ni huyo huyo unaemuamini n.k n.k n.k,

Hivyo hapo unaweza kupata power na mafanikio yoyote unayotaka within a short time kwa imani yako na Meditation haimuondolei mtu imani yake bali humjuza zaidi kuhusu imani yake

10: Utakapo kuwa umejawa na ile nguvu basi utaona mwili wako mzima umekua sealed na aura yako imefunga na kuwa ngumu yenye nguvu na yenye kuwaka katika imani yako kumbuka one deep inner travel can change your life so you have to practice with hope and love (Safari moja ya ndani zaidi ya mwili wako inaweza kubadili maisha yako hivyo fanya kwa upendo na matumaini uweze kufika malengo) kitu hadi ukipende ndio utakifahamu..

hapo utakuwa umecomplete meditation ya pumzi kumbuka sio kwamba utafanya siku moja na kufikia yote haya kila siku utakua ukipiga hatua
Naishia Hapo Ingawa Nitaendelea Kuupdate huu uzi....



AINA ZINGINE ZA MEDITATION:

MEDITATE YA UDI
:
View attachment 420761
Fuata Hatua Zifuatazo Kufanya Meditation Itakayo Fungua Jicho La Tatu & Psychic Power Zako Kwa Muendelezo...

HATUA:
1: Jiande Siku Au Saa Ambayo Baada Ya Hapo Utalala Kupumzisha Mwili...

2: Puliza Au Washa Udi Au Marash Yoyote Unayoyapenda Au Usitumie Chochote Kama Harufu Iliyopo Inakuridhisha

3: Vaa Mavazi Yasiyobana Wala Kukubughudhi Mwili, Na Hata Kama Unapete Cheni Heleni, Saa,mkanda au Chochote Chenye Kubana Kama Umesuka Subiri Siku Ukifumua Hii Husaidia Kuacha Mwili Wako Huru Na Uelewa..

4: Kaa Kwa Mtindo Miguu Wa X, Au Kaa Kwenye Kiti, Au Kaa Mtindo Wa Baadhi Ya Watu Kwa Kuikalia Miguu Juu Yaani Kama Vile Umepiga Magoti Kwa Kukalia.. Chagua Moja Kati Ya Hii Mitindo Utakao Ona Umekaa Hakuna Maumivu Sehemu Yoyote Ya Mwili..

5: hakikisha Mgongo Umenyooka Ili Kuzihesabu Chakra Zote Zimekaa Sawa.. Mgongo Ukiwa Umenyooka Chakra Zote Waweza Kuzihesabu.. Ndio Maana Tunasema Katika Ufunguzi Wa Third Eye Ndipo Unaweza Kucontrol Pia Chakra Zote...

6: Angalia Mbele Kwa Kufocus Vuta Pumzi Ndefu Mara 6 Yani Tatu Nje Tatu Ndani... Hakikisha Unapovuta Ndani Kifua Kinajaa Bila Kubakisha Sehemu na Unapotoa Toa Yote.... inapofika Ya Sita Nje Fumba Macho Taratibu..

7: Anza Kufuta Pumzi Za Kawaida Ila Zenye Kueleweka Na Anza Kuhesabu Kutoka 100,99,98-1... Ukivuta 100, ukitoa 99,vuta98, toa 97... Hakikisha Hauirudii Mara Mbili Namba Ukikosea Hata Kama Bado 4 Umalize Anza Tena 100 usifikirie kingine zaidi ya pumzi na namba...
View attachment 420135
8: Wakati Umeanza Kuhesabu Iangalie Sehemu Ya Third Eye Chakra, Humo Umefumba Macho Angalia Kwa Kupandisha Macho Yako Eneo La Katikati Ya Nyusi Zako Jitahidi Usikunje Ndita..

9: Pindi Utakapofika 3,2,1 eneo hilo la katikati ya nyusi ulioangalia utahisi kama kihali flani hivi wengine huhisi kama kiwembe kimemchana au hali flani nzuri huwa haielezeki au nuru ya mwanga kama niliotaja juu...
Hapo utaona kama vile macho yako yamefumbukia kwa ndani...

10: utaona kama video game ya matukio uliowahi kuyafanya inacheza mbele yako usinogewe sana, Iache Icheze Ufunguo Au Remote Yako Ni Hewa Unayoivuta Endelea Kuvuta Huku Ukiangalia Matukio Yako Ya Humo Ndani...

10: hizo ndio takataka zilizokujalia kwenye ubongo.. Zitaanga kupotea Moja Moja Na Utafikia Sehemu Utaona Kama Nyota Zinatoka Chini Zina Panda Juu Hizo Ndio Tunaita Spirits Za Crown Chakra Stage Hiyo Unaweza Kuomba Unachotaka Na Kikaja Kabla Ya Wiki Kuisha.. Ikitoka Hiyo Stage Utaona Zile Nyota Zimeshapanda Zote.. Hakuna Kingine Sasa Hapo Ndio Utaanza Kuhisi Kama Mvua Inapenya Katikati Ya Utosi Na Kusambaa Mwili Mzima.. Unataka Kujua Hicho Ni Nini?? ndiyo Charge Ya Pyschic Power Zako Inaanza Kuingia Ikadirie Isiingie Nyingi Kupita Kiasi Zikaja Kuwa Kero Baada Ya Kutoka Kwenye Meditation... Hakikisha Hii Ni Mara Yako Ya Kwanza Usifanye Zaidi Ya Dk 15-20.. Utakavyozidi Kufanya Siku Zingine Muda Wako Wenyewe Utaanza Kijiongeza Baadae Unaeza Hata Kufanya Saa Zima..
Ukitaka Kutoka Vuta Pumzi Ndefu Kama Ulivyoingia Mara 6 na gonga kidole chako kuashiria unatoka fumbua macho yako taratibu na uanze kuelewa eneo uliopo usikurupuke tulia macho yatambue kwamba umefumbua.. Utajisikia furaha sana, na utajiskia mwili unanguvu na mwepesi zikumbuke ndoto ulizoota siku hiyo zilete hapa tutakusaidia...

ZOEZI LlKIENDA TOFAUTI:
Fanya haya:

Ukiwa Katikati Ya Meditation ukahisi Eneo Unaloliangalia Linachemka Gonga Kidole utoke Utafanya Muda Mwingine..
Hii huwatokea sana wenye msongo wa mawazo.. Taratibu tutafika...
Ukihisi vibration kwenye eneo la third eye usiogope ni system inaanza kufunction... Ukiwa unaangalia matukio yako pale pale ukahisi eneo la third eye linachemka gonga kidole na utoke.... Hvyo unapofikia sehemu ukahisi utajua tu paji la uso linachemka maana utaanza kuhisi jasho pia gonga kidole na utoke...
Hivyo Njia Ya Kukwepa Unexpected Things Unagonga Kidole Tu Unatoka... Kumbuka Usiunde Kitu Maana Huo Ni Ubongo Wako Sio Mtu Wala Kiumbe Utakacho Unda utakupeleka Huko huko usiwaze kitu kuwa muelewa maana wengine huanza imagination hapa utakuwa hufanyi meditation...
Hakikisha hakuna makelele ulipokaa...

Meditation ya namba:
ambayo nayo taianzishia uzi wake,.
View attachment 420176

Hapa, unatakiwa kuhesabu namba kinyume nyume huku ukiwa umefumba macho. Unaweza ukaanzia 100, 99, 98, 97, 96, ¡-mpaka 1, au unaweza kuanzia 200, 198, 196, 194, 192, mpaka 2. hakikisha wakati unahesabu namba hizi hukosei, na ikitokea ukakosea namba yoyote hata
kama umekaribia kumaliza, itakulazimu kuanza upya. Meditation hii ni nzuri sana kwa kurejesha kumbukumbu, ingawa pia ina faida nyingine.

Hizo ni mbili tu za aina za meditation ambazo zipo nyingi kama 25 zote tazileta kwa awamu kwa wale wanaotaka kumaster meditation....

kwa haya na mengineyo tembelea Rakims Spiritual kujifunza zaidi

Rakims
Anacho waeleza Rankims sio meditation ni mazoezi ya concetration. Haya mazoezi kwa mwanafunzi anayetaka kufanya anayafanya meditation, ni pamoja na ku-practise kuwa vegeterian na kuondoa ubinafsi kufanya community services. Baada ya hapo lazime upewe initiotion na mtu mjuzi au anaitwa Adept yaani anaamsha chakra yako kuweza kukupa uwezo wa kuweza kupenya kwenye ulimwengu wa mawazo au thoughts na kusafiri kutumia common denomitor of being yaani sound na light, kuvuka mwisho wa akiri na kwenda Rohoni kwako.

Mimi nimefanya Meditation mpaka mwisho. Nime-practise anakiongelea Rankims for 2 years yaani kufanya mazoezi ya kuwa tayari, then nikapata Inition 1982, nime pata level ya kwenda beyond the mind baada mwaka mmoja, it took me 30 yrs kupata enlightment.

Nimepata Enlightment wakati nikifanya kitu tofauti na kabisa na meditation. Rankims tofautisha Meditation na Concetration au contemplation, hakuna dini kwenye maona ya meditation, bali ni imagination, when you do the imagination, you use thoughts and dillusion, you not meditating.
 
Anacho waeleza Rankims sio meditation ni mazoezi ya concetration. Haya mazoezi kwa mwanafunzi anayetaka kufanya anayafanya meditation, ni pamoja na ku-practise kuwa vegeterian na kuondoa ubinafsi kufanya community services. Baada ya hapo lazime upewe initiotion na mtu mjuzi au anaitwa Adept yaani anaamsha chakra yako kuweza kukupa uwezo wa kuweza kupenya kwenye ulimwengu wa mawazo au thoughts na kusafiri kutumia common denomitor of being yaani sound na light, kuvuka mwisho wa akiri na kwenda Rohoni kwako.

Mimi nimefanya Meditation mpaka mwisho. Nime-practise anakiongelea Rankims for 2 years yaani kufanya mazoezi ya kuwa tayari, then nikapata Inition 1982, nime pata level ya kwenda beyond the mind baada mwaka mmoja, it took me 30 yrs kupata enlightment.

Nimepata Enlightment wakati nikifanya kitu tofauti na kabisa na meditation. Rankims tofautisha Meditation na Concetration au contemplation, hakuna dini kwenye maona ya meditation, bali ni imagination, when you do the imagination, you use thoughts and dillusion, you not meditating.
Mkuu nikutafute tuzungumze kuhusu hayi makitu nayapendaga sema sijui nianzie wapi
 
Anacho waeleza Rankims sio meditation ni mazoezi ya concetration. Haya mazoezi kwa mwanafunzi anayetaka kufanya anayafanya meditation, ni pamoja na ku-practise kuwa vegeterian na kuondoa ubinafsi kufanya community services. Baada ya hapo lazime upewe initiotion na mtu mjuzi au anaitwa Adept yaani anaamsha chakra yako kuweza kukupa uwezo wa kuweza kupenya kwenye ulimwengu wa mawazo au thoughts na kusafiri kutumia common denomitor of being yaani sound na light, kuvuka mwisho wa akiri na kwenda Rohoni kwako.

Mimi nimefanya Meditation mpaka mwisho. Nime-practise anakiongelea Rankims for 2 years yaani kufanya mazoezi ya kuwa tayari, then nikapata Inition 1982, nime pata level ya kwenda beyond the mind baada mwaka mmoja, it took me 30 yrs kupata enlightment.

Nimepata Enlightment wakati nikifanya kitu tofauti na kabisa na meditation. Rankims tofautisha Meditation na Concetration au contemplation, hakuna dini kwenye maona ya meditation, bali ni imagination, when you do the imagination, you use thoughts and dillusion, you not meditating.
Mkuu unachozungumzia ni kitu tofauti kabisa katika Classes za meditation adept huja pale kwa mfanyaji wa meditation anapoingia kwenye delusion hivyo huyu huwa kama coach wa kumuongoza kutoka katika delusion kuja kwenye reality hii ninayofundisha ni self meditation ambayo mtu anafanya mwenyewe na hicho unacholeta wewe ni therapist,

Kwanza kabisa kwenye meditation hutakiwi kuimagine/concertration au visualization unatakiwa kuwa na awareness pekee mkuu meditation sio kitu cha kusoma vitabu viwili vitatu ukachanganya na akili zako ukaona umeifahamu hapana still bado unamengi ya kujifunza maana hata ulichozungumzia hata ni nje ya keys za beginner na thread hii inajieleza,

Mwanzo wa meditation

Rakims
 
Mkuu unachozungumzia ni kitu tofauti kabisa katika Classes za meditation adept huja pale kwa mfanyaji wa meditation anapoingia kwenye delusion hivyo huyu huwa kama coach wa kumuongoza kutoka katika delusion kuja kwenye reality hii ninayofundisha ni self meditation ambayo mtu anafanya mwenyewe na hicho unacholeta wewe ni therapist,

Kwanza kabisa kwenye meditation hutakiwi kuimagine/concertration au visualization unatakiwa kuwa na awareness pekee mkuu meditation sio kitu cha kusoma vitabu viwili vitatu ukachanganya na akili zako ukaona umeifahamu hapana still bado unamengi ya kujifunza maana hata ulichozungumzia hata ni nje ya keys za beginner na thread hii inajieleza,

Mwanzo wa meditation

Rakims
Nimejieleza mimi ni Adept. I am 59 yrs old, almost three quarter of mylife i have been into Yoga and Meditation. Sihitaji kitabu kumueleza mtu ninachokijua.
 
Mkuu unachozungumzia ni kitu tofauti kabisa katika Classes za meditation adept huja pale kwa mfanyaji wa meditation anapoingia kwenye delusion hivyo huyu huwa kama coach wa kumuongoza kutoka katika delusion kuja kwenye reality hii ninayofundisha ni self meditation ambayo mtu anafanya mwenyewe na hicho unacholeta wewe ni therapist,

Kwanza kabisa kwenye meditation hutakiwi kuimagine/concertration au visualization unatakiwa kuwa na awareness pekee mkuu meditation sio kitu cha kusoma vitabu viwili vitatu ukachanganya na akili zako ukaona umeifahamu hapana still bado unamengi ya kujifunza maana hata ulichozungumzia hata ni nje ya keys za beginner na thread hii inajieleza,

Mwanzo wa meditation

Rakims
Mkuu mi nataka kama zile za kutoka unaenda kuzimu kutembea unarudi nyuma ya muda au unaendaxmbele ya muda kama zipo nahitaji mwalimu mkuu
 
Naona wewe unahamu sana ya kupata Power, kwa sababu nimeona umemuuliza Rankims juu ya uwezo kusafiri back in space. Meditation na Yoga is about spritual knowledge, sio kitu cha mchezo na kupata power. Kwa mfano hiyo inayoiulizia ni hatari sana inatwa Astro projections inafanyika ukiwa na hali ya karibu na umauti hali ya kuzimia lakini unaufahamu, unaweza usirudi mwilini kama hakuna mazingira mazuri, Please kama utafanya meditation achana na kutaka power, ni hatari pia zinajenga kiburi ambacho kinyume na malengo ya yoga na meditation.

Kukujibu swali lako; sina ujakika kama bado kuna group inafanya kama tulivyo kuwa sisi miaka ya 80's. Kulikuwa na Group la TM yaani Trascendetal meditstion hili lilkuwa lina kuongoza kumeditate kwa kutumia Mantra, lilokuwa linaongozwa na Mansour Daya, nilianzia hapo, lakini baadae nilijiunga na Lifewave Meditation or Path ndiko nilipopewa initition Light and Sound mwaka 1982. Group lilivunjika baada kiongozi wa juu kuamua kuvunja Lifewaze as an organization, hivyo kila mtu akaenda kivyake, lakini nilisha pata level ya juu hivyo niliendelea kufanya meditation na kupata rialization mbalimbali mpaka nilipofikia mwisho. Sijui kama wenzangu wameamua kufungua spritual centers na wanatoa mafundisho tunaita Discoze. Kwa kuanzia mtafute mtu mmoja anaitwa Rashid Mbuguni, ni one of the owner wa gazeti la majira yeye ndie aliileta Lifewave, atakuwa ana contacts za Discoze centers I am sure anaweza kuwa anashiriki direct au kama mkufunzi mwalikwa, atajua zinafanyikia wapi. Vilevile njia rehidi kumpata pale Majira pana mwanae anaitwa Aga Mbuguni. Kamuulizie tuu.
Mkuu hayo mnayoongea vyuo vyake viko wap tunataka elimu hiyo sisi
 
Naona wewe unahamu sana ya kupata Power, kwa sababu nimeona umemuuliza Rankims juu ya uwezo kusafiri back in space. Meditation na Yoga is about spritual knowledge, sio kitu cha mchezo na kupata power. Kwa mfano hiyo inayoiulizia ni hatari sana inatwa Astro projections inafanyika ukiwa na hali ya karibu na umauti hali ya kuzimia lakini unaufahamu, unaweza usirudi mwilini kama hakuna mazingira mazuri, Please kama utafanya meditation achana na kutaka power, ni hatari pia zinajenga kiburi ambacho kinyume na malengo ya yoga na meditation.

Kukujibu swali lako; sina ujakika kama bado kuna group inafanya kama tulivyo kuwa sisi miaka ya 80's. Kulikuwa na Group la TM yaani Trascendetal meditstion hili lilkuwa lina kuongoza kumeditate kwa kutumia Mantra, lilokuwa linaongozwa na Mansour Daya, nilianzia hapo, lakini baadae nilijiunga na Lifewave Meditation or Path ndiko nilipopewa initition Light and Sound mwaka 1982. Group lilivunjika baada kiongozi wa juu kuamua kuvunja Lifewaze as an organization, hivyo kila mtu akaenda kivyake, lakini nilisha pata level ya juu hivyo niliendelea kufanya meditation na kupata rialization mbalimbali mpaka nilipofikia mwisho. Sijui kama wenzangu wameamua kufungua spritual centers na wanatoa mafundisho tunaita Discoze. Kwa kuanzia mtafute mtu mmoja anaitwa Rashid Mbuguni, ni one of the owner wa gazeti la majira yeye ndie aliileta Lifewave, atakuwa ana contacts za Discoze centers I am sure anaweza kuwa anashiriki direct au kama mkufunzi mwalikwa, atajua zinafanyikia wapi. Vilevile njia rehidi kumpata pale Majira pana mwanae anaitwa Aga Mbuguni. Kamuulizie tuu.
Mkuu hizo astral projection nimejaribu lakini kila siku sifanikiwi nimesoma vitabu kama kumi na kitu nimejaribu kupitia video mbalimbali imeshindikana xaxa naona bora nitafute mwalimu maana namajambo yangu nataka niyafatilie
Kuhusu hao watu ulionitajia mkuu kuwapata kwa majina tu ni ngumu mkuu labda ungerahisisha kidogo alternative ways kuwapata
 
Nimejieleza mimi ni Adept. I am 59 yrs old, almost three quarter of mylife i have been into Yoga and Meditation. Sihitaji kitabu kumueleza mtu ninachokijua.
Sawa hapo nimekuelewa ila what i mean ni kwamba hii thread ni mahususi kwa waliokuwa hawana idea na spiritual journey kwa maana naangalia percent za waliokwisha jua na baadae niweze kuwaongoza hatua kwa hatua ndio maana unaona kuna watu wanapokea hii kitu kama hadithi za mtaani tu mkuu, Tanzania inahitaji msasa mkuu na ufundishaji unatakiwa umfundishe mtu chekechea kwenda chuo

Rakims
 
Mkuu mi nataka kama zile za kutoka unaenda kuzimu kutembea unarudi nyuma ya muda au unaendaxmbele ya muda kama zipo nahitaji mwalimu mkuu
Mkuu hizo ni hadi uvuke huku chini uweze kujiground kwanza baadae ndio kuja kujifunza kumerge na mengineyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom