- Thread starter
- #41
Duuh umeingia mitini?......anyway it was a good inspiration
Hapana mkuu, ckuingia mitini, nimekutupia picha hapo juu, km unaweza ufike pale visiga uone kinachofanyika, wakati huu mkuu co wa kutafuta cfa za kijinga, ni wakati wa kufanya kazi kupata faranga manake wanaotakiwa kuzitoa wanazikalia wenyewe