Chadema wanaijaribu serikali, ni vyema wakatizamwa kwa jicho la tatu wale wote ambao nia yao ni kutuvurugia amani yetu.
Amani yetu ni muhimu kuliko chama chochote kile, vyombo vyetu visisite kuchukua hatua sahihi kwa yeyote yule anaye jaribu au hata kufikiria kuvuruga amani yetu kwa njia yoyote ile.