Mwanza wapi wanakodisha magari?

Mwanza wapi wanakodisha magari?

Mkuu kwa nini usitulie nyumbani? Covid imeshika kasi na kupamba moto wewe ndio kwanza unazurura hata kama ni kijana una kinga madhubuti huwaonei huruma wazee wako na wengine?

Why black men @$$es are not adhesive?

Stay home bana and save lives.

Korona ipi mkuu? Ugonjwa wa wazungu huo!!!
 
Dah! kama kuna siku ya kukusanya mapato ya serikali ni kesho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom