Sasa mbona kaenda kufanyia mkutano Magomeni mwaloni sehemu ndogo..
Kwa nini wasifanyie Furahisha au Sahara au Mirongo au wanahofia kukosa watu, wamemeamua wakafanyie kwa wauza dagaa!
embu mpigie bosi wako Nepi akujibu.Vipi leo uko shift ya mchana?
Sasa mbona kaenda kufanyia mkutano Magomeni mwaloni sehemu ndogo..
Kwa nini wasifanyie Furahisha au Sahara au Mirongo au wanahofia kukosa watu, wamemeamua wakafanyie kwa wauza dagaa!
Nipo mwanza..but nipo kiproffessional zaidi. Ngoja nimalizane na hapa PPF then niende kusikiliza hizo pumba za huyu jamaa. Sijui ataanzisha tena maandamano!!
Unanifananisha na Ritz..wewe ni Jini? Si ulisema uko Arusha kwenye kesi ya wakombozi? Umeshafika tena Mwanza
Sasa mbona kaenda kufanyia mkutano Magomeni mwaloni sehemu ndogo..
Kwa nini wasifanyie Furahisha au Sahara au Mirongo au wanahofia kukosa watu, wamemeamua wakafanyie kwa wauza dagaa!
Sasa mbona kaenda kufanyia mkutano Magomeni mwaloni sehemu ndogo..
Kwa nini wasifanyie Furahisha au Sahara au Mirongo au wanahofia kukosa watu, wamemeamua wakafanyie kwa wauza dagaa!
Anafanyia Magomeni kwa sababu Nape alifanyia hapo.Sasa mbona kaenda kufanyia mkutano Magomeni mwaloni sehemu ndogo..
Kwa nini wasifanyie Furahisha au Sahara au Mirongo au wanahofia kukosa watu, wamemeamua wakafanyie kwa wauza dagaa!
Lazima nihudhurie huo mkutano mkuu.Nenda uwe unatupa updates nasikia wanafanyia mwaloni pale uwanja wa mpira magomeni..
Tundu Lissu, bana kaacha jimbo lake kuna njaa anazunguka tu hovyo
Unanifananisha na Ritz..
Nipo Mwanza
Huwezi kuwahi huo mkutano kwasababu Nape hayupo Dar, umekosa per diem mpaka arudi kutoka ziarani.Lazima nihudhurie huo mkutano mkuu.
Jamaa anaogopa kurudi jimboni kwake.
mkuu unaripoti vizuri sana,wanaJF leo watashiba habari.Matukio yakianza kama ukiweza na Picha itapendeza zaidi.
Kitu nilichokigundua humu jamvini 99% wanaoipinga Chadema ni CUF na wala si CCM. Sijui ndo kusema wanataka waonekane wanauchungu sana na Mume wao au vipi!
Unanifananisha na Ritz..
Nipo Mwanza
Picha zitakuwepo niko na blackbery yangu iko imara
Lazima nihudhurie huo mkutano mkuu.
Jamaa anaogopa kurudi jimboni kwake.
Nipo mwanza..but nipo kiproffessional zaidi. Ngoja nimalizane na hapa PPF then niende kusikiliza hizo pumba za huyu jamaa. Sijui ataanzisha tena maandamano!!
Anaanda mazingira ya kujiandikia posho. Wazi mtupu!!.
Mafisadi wakubwa nyie,kwahiyo mlitaka akafanyie mkutano kwa WEZI wenzenu?Kwani WAUZA DAGAA sio watu?Huo USELFISH wenu kiama chake ni 2015.Shame on you.Sasa mbona kaenda kufanyia mkutano Magomeni mwaloni sehemu ndogo..
Kwa nini wasifanyie Furahisha au Sahara au Mirongo au wanahofia kukosa watu, wamemeamua wakafanyie kwa wauza dagaa!