CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,254
- 12,872
Niko Hill front hotel - nataka nitoke nijichanganye uswahilini - walioko Igoma nambie niende wapi ili tuonane na kufahamiana.
duh,kumbe upo igoma.haya mtafte Eiyer yupo mitaa hyo...
Niko Hill front hotel - nataka nitoke nijichanganye uswahilini - walioko Igoma nambie niende wapi ili tuonane na kufahamiana.
Nasikia vila mvua ikinyesha hapafai - huko siendi.
Tai five niliwahi kwenda mvua iliponyesha wahudumu walianza kutuhamisha kwa kutumia mwavuli - siendi,
HUku Hill front naona kumetulia ila hakuna mishemishe
Vipi nije nikupitie, kwani na mimi naelekea huko huko!.
Jiandae nakuja...vipi unapanda bodaboda, naomba tufahamishane mapema..njoo twende
Baby we uko wapi?
Charminggirl kapotelea wapi?.....He he he I knew it if you know what I mean!.
Jiandae nakuja...vipi unapanda bodaboda, naomba tufahamishane mapema..
nipo kona ya bwiru!
Du wewe naona ushanipiga chini. Daladala haziendi Malaika, au leo zinaenda?.bodaboda sipandi kusema za ukweli bora tutembee au daladala
kona ya bwiru ya side gani,juu kwa lema au chini tai five?
yan hapa opposite na kwa lema zizou salon naupamba!
JF mlioko mwanza city nambie kiwanja kipi kizuri nikajichanganye nanyi tufaamiane.
nin tena?
nshakupata..