no u
Member
- Jan 8, 2022
- 22
- 14
Habarini za leo.. ninauza kiwanja kipo kanyerere center ni mwendo wa dakika 10 kukifikia liko tambarare, umeme na maji vimefika..
Kiwanja ni 18m upana kwa 40m urefu, kiwanja kimepimwa ila hati sijaifuatilia..
Ninakiombea 13 milion (tunaweza kuongea pia)
Sijaambatanisha picha maana siishi mwanza kwasasa ni ni miaka kidogo nimetoka huko kukiangalia kwahiyo hata picha zenyewe siko nazo kwa simu hii...
Tuwasiliane kwa 0657510531
Kiwanja ni 18m upana kwa 40m urefu, kiwanja kimepimwa ila hati sijaifuatilia..
Ninakiombea 13 milion (tunaweza kuongea pia)
Sijaambatanisha picha maana siishi mwanza kwasasa ni ni miaka kidogo nimetoka huko kukiangalia kwahiyo hata picha zenyewe siko nazo kwa simu hii...
Tuwasiliane kwa 0657510531