JF mlioko mwanza city nambie kiwanja kipi kizuri nikajichanganye nanyi tufaamiane.
Baeleze hao kama vipi sisi wenyeji tupo, tutakuonyesha viwanja vyote!.kuna goldcrest ktkt yd jiji,kuna tilapia, ryans bay,rock n roll zote za katkat ya jiji. 'kazi kwako'
Baeleze hao kama vipi sisi wenyeji tupo, tutakuonyesha viwanja vyote!.
Mbali si ndio poa mkuu, mafichoni huko. Unafurahi ukichoka unapiga mbizi ziwani!.Husninyo,malaika mbali bana njoo nae huku Igoma kwenye tingisha!!
Husninyo,malaika mbali bana njoo nae huku Igoma kwenye tingisha!!
Vipi nije nikupitie, kwani na mimi naelekea huko huko!.ii ivi kumbe mwanza tupo wengi ivi?mida hii nipo home ila badae ntaenda villa kupata msosi huku nikienjoy bendi live ya super
ii ivi kumbe mwanza tupo wengi ivi jf?mida hii nipo home ila badae ntaenda villa kupata msosi huku nikienjoy bendi live ya super kamanyola