Mimi siamini mwanasiasa atakujakunisaidia mimi kwa maisha yangu mpaka nimsujudu na kulazimisha au kuwashawishi wengine wamfuate yeye kama mkombozi.
Waache wao wafuate imani zao na mapenzi yao na wewe ufuate msimamo wako pia.
Wewe unawashangaa na wao wanakushangaa.[/QUOTE
Kama wengine wanavyomfuata ENL huko Masaini!