Aisee,leo nimekupendeje?Mimi siamini mwanasiasa atakujakunisaidia mimi kwa maisha yangu mpaka nimsujudu na kulazimisha au kuwashawishi wengine wamfuate yeye kama mkombozi.
Waache wao wafuate imani zao na mapenzi yao na wewe ufuate msimamo wako pia.
Wewe unawashangaa na wao wanakushangaa
Miaka mitano ya chadema tumeshika adabu hatufanyi makosa tena.
Ni Msukuma, full stop!!
Ni sehemu ya Wasukuma waliohamia Uzinza kwa ajili ya kufuata malisho miaka ya '50 na '60!! Ni Wasukuma waliotoka 'Bugwe' (yaani ng'ambo ya ziwa Viktoria ukiwa upande wa Sengerema). Watu wasipotoshe hapa!
Aisee,leo nimekupendeje?
Umekula nini hadi umeshuka points fupi na clear ile mbaaya.Maana umekaa nutro
Ubarikiwe,
Aisee,leo nimekupendeje?
Umekula nini hadi umeshuka points fupi na clear ile mbaaya.Maana umekaa nutro
Ubarikiwe,
Mnataka kutambika?
Mimi siamini mwanasiasa atakujakunisaidia mimi kwa maisha yangu mpaka nimsujudu na kulazimisha au kuwashawishi wengine wamfuate yeye kama mkombozi.
Waache wao wafuate imani zao na mapenzi yao na wewe ufuate msimamo wako pia.
Wewe unawashangaa na wao wanakushangaa.
Mleta mada bila shaka kuna jambo kubwa limekubana moyoni ni bora usubiri wakati wake ndio ulitoe, ni lini watu wote wa Mwanza walitamuka kwamba hawaitaki CCM, una ushahidi gani kwamba wote wamefurahia kuteuliwa kwa Magufuli?, kama suala ni umati wa watu wanaojitokeza kwani umati huo ndio kwanza umejitokeza kwa Magufuli tu hapo Mwanza?
mtutsi!
Bahima empire iyoooo inakaribia!
ingekuwa mchaga kila mtu angesema WAKABILA ila mzinza hapo nderemo sii bara wala pwan wanadai ukabila anzia leo heshm ichukue mkondo wske
Hata wewe mtoa maada haujielewi,,, magufuli siyo msukuma , ni mtu mwenye asili ya watu wa Bihalamulo,,,na amekulia mwanza,,,hiyo kulelewa dar es salaam haimaanishi wewe ni mdengereko. Pia jimbo la mwanza lina historia yake kuwa halijawahi kutawaliwa na Mbunge zaidi ya miaka 5,, hivyo upinzania ulipaswa kuleta mtu mwingine tofauti na huyo mjaruo-wenje vinginevyo jimbo linarudi ccm,,, hii nakupa uhakika kabisaaaaaaaaa.....prove yake ni mwezi wa 11 mwaka huu
Hata wewe mtoa maada haujielewi,,, magufuli siyo msukuma , ni mtu mwenye asili ya watu wa Bihalamulo,,,na amekulia mwanza,,,hiyo kulelewa dar es salaam haimaanishi wewe ni mdengereko. Pia jimbo la mwanza lina historia yake kuwa halijawahi kutawaliwa na Mbunge zaidi ya miaka 5,, hivyo upinzania ulipaswa kuleta mtu mwingine tofauti na huyo mjaruo-wenje vinginevyo jimbo linarudi ccm,,, hii nakupa uhakika kabisaaaaaaaaa.....prove yake ni mwezi wa 11 mwaka huu
Weeee komea fela ... hata kama ni wewe mwezi haujaisha mitaa ya jirani limeponda nyumba na kuua watu sasa tuone jiwe jingine linalelengeta tusikimbie.Tangu niliposikia kuwa wakazi wa Mwanza wamelikimbia jiwe na kuyaacha makazi.....nikajua kuwa wakazi wa huko hawapo sawa...........