Mwanza mnajiaibisha, hamjielewi nini?

Mwanza mnajiaibisha, hamjielewi nini?

We we baba yako akichagulia kuwa Raisi wa hii hautafurahi...hakuna mtu asiyetaka maaendeleo hat a kidogo
 
Hata angekuwa ni nani anapeperusha bendera ya ccm kwenye uchaguzi mkuu hapati kura ya msukuma aliyejitambua.

Wakati wa kufanya mabadiliko ni sasa na asili ya msukuma ni watu waduhu tabu;watampokea Magufuli na kumwambia wako pamoja naye lakini siku ya kura watia vema UPINZANI
 
Wewe acha siasa za kizamani unataka unachoamini wewe kila mtu aamini hivyo siyo Mwanza pekee yao hilo ni chaguo sahihi
 
Weeee komea fela ... hata kama ni wewe mwezi haujaisha mitaa ya jirani limeponda nyumba na kuua watu sasa tuone jiwe jingine linalelengeta tusikimbie.
We si ungekuja kulalamo wewe sasa yee
Samahani mkuu...mkuu nilikuwa kwenye masihara tu.....ugali mtamu
 
Wabongo wanataka kuweka mvinyo mpya ndani ya viriba vikuu kuu...
 
Magufuli sio msukuma ni mzinza ila ni kabila Dogo sana sema kalelewa na baba wa kufikia msukuma.
Ahaa!sasa nakubali kabisa kwani Wazinza ni watu wasiopenda ujinga ujinga!Nilikuwa nashangaa sana kwani nawajua wasukuma si watu makini unless kama ana agenda ya kukomoa mtu,hapo utamuona mwenye bidii kwelikweli
 
if you decide to tell a lie. At least tell an intelligent lie.
I support you.I think the guy had no information that Kenya is moving to a middle class country.

I think it is better to let people decide the kind of a leader they want.
 
Magufuri ndio aina ya Kiongozi anayehitajika kwenye nchi kama hii iliyojaa wavivu,japo CCM siipendi kwa jinsi ilivyojaa walafi,lakini Magufuri sawa
 
Awe msubI,au mzinza au msukuma anapeperusha bendera ya chama kuwania kuwa raisi wa tanzania.Kuna hotuba mwalimu aliulizwa na mama mmoja wa Kenya"wakati wa jumuia ya africa mashariki sisi wakenya tulikuwa tunatambuana kwa makabila hali kadhalika waganda tofauti na watanzania walikuwa wakiitana ndugu"mwalimu akamjibu"ni wakati huo mama ila sasa hivi watanzania wanatambuana kwa makabila"
 
Punguza hasira! Waache wasukuma waandike historia nchini, Ni vigumu mambo kujirudia,waulize wazanaki watatoa rais lini tena?
 
Wengine wameamua kumtafutia kabila jingine ili asionekane msukuma unabii ea JK utimie,lkn ukweli jamaa n msukuma pure na anakijua,originaly from Busumabu
 
Unajuwa raia wengi hawaelewi wanafikri Magufuli kuishi Biharamlo basi c msukuma La! Hasha, hata Ngoyayi El co mmasai ni mmeru aishiye Monduli
 
Back
Top Bottom