Eraldius
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,120
- 906
Ni mama wa Kijita mitaa ya Mkombozi Kilimahewa Mwanza mama ashikwa majira ya saa 5 mchana.Inasemekana watoto wanaopoteaga katika mazingira ya kutatanisha anawachukuaga huyo mama.Kakutwa mmoja na wengine kasema atawarudisha baada ya kuwa wametoka kazini. Kachomewa nyumba na mpaka sasa yuko Polisi.