- Thread starter
- #141
Pembeni uwe na chapati 4 zilizoenda shule. Supu ya mbwa tamu sana mkuu
Pembeni uwe na chapati 4 zilizoenda shule. Supu ya mbwa tamu sana mkuu
Mungu atusaidie kwa kweliAisee hatari kabisa!
Kuna muda unakutana na nyama ladha yake sasa, ng'ombe si ng'ombe mbuzi si mbuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asigwa we ni chenga kabisa hahahahaMbona supu ya mbwa iko poa sana.
Hasa ukipata supu ya ulimi...
Halafu utadhani anasema kweli kumbe anatania
Pale msukuma pub nimekula Sana supu ya mbuzi kumbe majanga Tena Ila sijutii supu yao in radha na Ni nzito ukipiga na CD inakaa tumboni vyema...karibu buswelu, mbogambogaWakazi wa Mwanza, Mungu anawaona. Hii tabia iliyotamalaki ya kulisha watu kitoweo cha mnyama mbwa sijaipenda.
Tukio la kwanza lilitokea eneo maarufu Buswelu Centre, sehemu inayoitwa MSUKUMA PUB, kuna kaka pale anapika supu maarufu Mangi japo ni Mmeru anaitwa Mbise, wiki chache zilizopita alikamatwa usiku na askari wa doria akiwa na mzigo walipomtilia shaka na kumpekua akakutwa na VICHWA 4 (vinne) vya mbwa. Baada ya kubananishwa akakiri kuwa huwa anachanganya nyama ya mbwa na mbuzi, alikaa mahabusu siku kadhaa baadae wamemwachia anaendelea na biashara yake.
Tukio/matukio mengine ni kule sehemu za viwanja vya nane nane Nyamhongolo nako viliokotwa vichwa viwili (2) vya mbwa maeneo ya karibu na uwanjani, puuuuuuuuuuuuuuu!!! kumbe baadhi ya washenzi walikuwa wanachoma nyama za mbwa.
Tuhurumiane jamani, mbwa sio utamaduni wetu.