Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,246
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , leo tarehe 18/3/2023 yuko Jijini Mwanza kwa ajili ya kushiriki Mazishi ya Muasisi wa chama hicho, Mzee Silvester Masinde.
Pamoja naye yupo pia Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, wajumbe kadhaa wa Kamati Kuu, pamoja na umati mkubwa wa wanachama wa Chadema.
Mzee Masinde alifariki tarehe 15/3/2023 kwenye Hospitali ya Bugando alikokuwa anapatiwa matibabu na anatarajiwa kuzikwa leo Jijini humo.
Apumzike kwa Amani.
Pamoja naye yupo pia Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, wajumbe kadhaa wa Kamati Kuu, pamoja na umati mkubwa wa wanachama wa Chadema.
Mzee Masinde alifariki tarehe 15/3/2023 kwenye Hospitali ya Bugando alikokuwa anapatiwa matibabu na anatarajiwa kuzikwa leo Jijini humo.
Apumzike kwa Amani.